Umekalili rudi ukasome Tena faida za kiwanda chochote kile tambua kua kiwanda hicho kupitia uzalishaji wake pamoja na magar yatakayouzwa ndan na nje ya nchi itawezesha serikali kulipa kod (2) magari mengi yatauzwa nje ya nchi hii itaongeza exportation na kupelekea balance of terms of trade (3)...
Usipokomaa utabaki unapiga kelele maisha magumu wakati wenzio wanatusua ktk ugumu huohuo kua mbunifu piga kazi usichague kazi Sasa hivi miundombinu kibao inajengwa huko kote vibarua wanahitajika Halmashauri kila cku zinahamasisha vijana kujiunga kwenye vikundi ili wapewe mikopo we bado unapoteza...
Hata mm nashangazwa na aina ya utekeja si kawaida watekaji kuchukua mda mrefu kiasi hicho lakini angalia kipengele cha kuchukua tv et Roma aliingia ndan na mtekaji mmoja huku wengine wakibaki nje kitu ambacho c kawaida kwan watekaji nao huogopa kudhurika hivyo hawawez kuruhusu mtu mmoja aende...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.