Recent content by matelazi

  1. M

    Naomba mwenyeji wa Iringa anisaidie kwa hili

    Sasa tukimkuta mtoto tumfananishe nanani ikiwa picha yako hujaweka.
  2. M

    Je, naweza kumshitaki mzazi mwenzangu?

    Sasa sijajua hapo wewe ni baba au mama tuanzie hapo
  3. M

    Mhe. John Mnyika Amjulia Hali Mhe. Tundu Lissu Jijini Nairobi leo

    Ukiwa ni usiku na ukaona giza nene ujue ndio kuna kucha na ukiwa vitani na ukaona adui amekuwa mkali sana ujue umekalibia na amezidiwa nguvu.
  4. M

    Moses Machali: Askofu Kakobe siyo mchungaji wa kiroho

    Huyu nae viloba vilifutwa siku nyingi lakini bado yeye anavyo mfukoni.
  5. M

    Askofu Zakaria Kakobe: Tanzania siyo nchi ya chama kimoja! Amtaka Rais Magufuli atubu

    Asee yani we jamaa unashindwa kutulea mambo ya msingi ili tuchangie unaleta vioja sema tu sijajua umri wako lakini viloba vilishafutwa kitambo sijui unatumia nini au ugollo kwa kukusaidia usiendelee kitumia madudu hayo yanakupunguzia uwezo wa kufikili ujue
  6. M

    Askofu Zakaria Kakobe: Tanzania siyo nchi ya chama kimoja! Amtaka Rais Magufuli atubu

    Duuu yani katika viongozi wa dini ambao huwa nawaelewa vizuri nipamoja na huyu asante sana baba askofu
  7. M

    Nairobi Hospital: Hatujapokea fedha zozote kutoka Bunge la Tanzania

    Hii ndio tanzania bhana Sent using Jamii Forums mobile app
  8. M

    Ipi ina nguvu zaidi kati ya CUF ya Seif na ya Lipumba?

    Maalimu self yuko juu
  9. M

    Nataka kumshitaki Rose Mhando kwa utapeli

    Ongeza pesa uliyo toa haitosh
  10. M

    Kama wana Arusha watamchagua Lema kuwa mbunge nitawaradharau

    Halafu ukiwaxalau ndio inakuwa je?
  11. M

    Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

    Wazo zuri ninakubaliana na wewe 100%
  12. M

    Wabunge wapya wa Bunge lijalo hadi sasa

    Peter MSIGWA iringa mjini
Back
Top Bottom