Ipi ina nguvu zaidi kati ya CUF ya Seif na ya Lipumba?

McCain

JF-Expert Member
Dec 2, 2016
1,169
517
Kati ya Cuf ya maalimu SEIF anayetambuliwa na watanzania wote na Ibrahim LIPUMBA kuna upande ni sawa 'lion painted pictures' na upande mwingine ni simba jike mwenye meno yote. Hivyo sasa kwa kidhungu tunasema mfamaji hakosi kupatapata LIPUMBA alishavuliwa uanachama sasa Leo anakujaje kumvua ukatibu mkuu SEIF.






Fanyeni yote hapo mlete faida kwa chadema kumbuka jambo lelote linapokuja kwakuungana kunapande Stallone na nyingine kugain
 
Huo mgogoro ufukute ufukitavyo hiyo CUF ni Maalim, lakini kitendo cha Lipumba kujifanya ndio kiongozi wa CUF basi itaiishia pabaya kuliko TLP.
 
Ulivyo andika umefurahi?

CUF inayofanya kazi kwa sasa ni ile inayoweza pata kibali cha msajili wa vyama vya siasa. Seif kwa sasa hana wa kumtambulisha zaidi ya watu wa mitandaoni kama wewe.

Muulize Mtatiro, ila kwa vile amesoma na yeye anatafuta majibu FB hutapata jibu mpaka uone Seif ni mtu asiye chura au samaki.
Kati ya Cuf ya maalimu SEIF anayetambuliwa na watanzania wote na Ibrahim LIPUMBA kuna upande ni sawa 'lion painted pictures' na upande mwingine ni simba jike mwenye meno yote. Hivyo sasa kwa kidhungu tunasema mfamaji hakosi kupatapata LIPUMBA alishavuliwa uanachama sasa Leo anakujaje kumvua ukatibu mkuu SEIF.






Fanyeni yote hapo mlete faida kwa chadema kumbuka jambo lelote linapokuja kwakuungana kunapande Stallone na nyingine kugain
 
Kwani toka Prof.Lipumba amekuwa Mwenyekiti wa cuf kabla ya umoja wao Na ukawa CUF chini ya Lipumba imekuwa Na wabunge Na madiwani wangapi? Je imewahi kuongoza Halmashauri ngapi? Hapo ndio utajua CUF IPI INA nguvu
 
Huu ni wakati mwafaka Maalim Seif ajiunge na CHADEMA amwache Lipumba na msajili wake.
Chadema itakuwa na nguvu zaidi na Lipumba atabaki na meza tu
 
Kati ya Cuf ya maalimu SEIF anayetambuliwa na watanzania wote na Ibrahim LIPUMBA kuna upande ni sawa 'lion painted pictures' na upande mwingine ni simba jike mwenye meno yote. Hivyo sasa kwa kidhungu tunasema mfamaji hakosi kupatapata LIPUMBA alishavuliwa uanachama sasa Leo anakujaje kumvua ukatibu mkuu SEIF.






Fanyeni yote hapo mlete faida kwa chadema kumbuka jambo lelote linapokuja kwakuungana kunapande Stallone na nyingine kugain
Lipumba nani anaemjua msaliti huyo,yupo na wasaliti wenzake amekuja kuua chama sio lingine Prof,uchwara
 
Back
Top Bottom