Mimi nilimpoteza mama mwaka 2020, nikampoteza mtoto mwaka 2021, mwaka huo huo 2021 mwezi uliofuata nikampoteza baba...haya mambo nikumuachia Mwenyezi Mungu tu na katika kipindi hicho kila jambo unaloliwaza kumbuka kwamba Mungu yupo na unazidi kumuomba yeye akupe uvumilivu na akuvushe...
Malezi naona sikuhizi yamebadilika sana..baadhi ya familia hakuna kupika, hakuna kufua, hakuna hata kuosha vyombo kisa eti watoto wa kiume.
Na hata kazi za mikono zingine kama kulima hata bustani tu za nyumba hawafanyi....wengi wanajificha kwenye kichaka cha kusoma..maisha bila kujua kazi za...
Point kabisa bro!Yaani kwa kifupi jamaa atafute amani ya moyo,.basi. Sawa anaweza kuvunga akakaa nae lakini vipi akija kuanza kejeli siku za mbeleni? Ni hatari kwa usalama wake asee..kuna vya kusamehe lakini sio mwanamke kuchepuka plus kuzaa kabisaa...aseeeee!
KNdoa ni maisha yako...pia kumbuka muda wote huyo utakuwa naye. Je, utaweza kuishi kwa mwendo huo? Kama utaweza fine..kama hautaweza ndugu yangu usilazimishe nafsi...utakuja kujuta. kwa nini mkae mume na mke muwe wasiri hivyo..yaani kila mtu anamambo yake? Matokeo yake kila siku maugomvi. Ndoa...
Acha kukatisha watu tamaa kiasi hicho. Juzi tu tunaona taarifa kuwa wafamasia ambao wako registered ni wachache sana. Kama sijasahau hawazidi hata elfu nne. Lakini ulivyotoa takwimu zako za wafamasia graduates mtu anaweza kuhisi kila nyumba tz kuna mfamasia. Cha msingi yeye aangalie moyo wake...
In short hujui thamani yako na huyo mwanamke amekudharau na hakupendi. Unatumika kama mshumaa tu! Hebu tambua thamani yako bhana! Kata daraja songa mbele daima usigeuke nyuma!
Jamaa yuko good..ingawa kwa hapa nafikiri alitakiwa kusema "hizo galaxy zipo umbali wa ambao mwanga unatakiwa kusafiri miaka Bilioni 4.5 ili kufika huko."
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.