Vijana Mliomaliza Kidato cha Sita(PCB), Msije-Mkarogwa Kuchagua Kusoma Shahada ya UUGUZI

GenuineMan

JF-Expert Member
Jun 13, 2017
5,252
11,600
Kwanza hongereni kwa kufaulu Mitihani yenu ya Kidato cha Sita.
Kwa wale mliofeli poleni , ndio maisha hayo.

Nije kwenye mada,
Nawashauri tena Mapema kabisa, hii kozi inayoitwa Bachelor of Science in Nursing( BSN au BScN). Ikimbieni.

Msije mkajichanganya kuichagua, au Mtu awae yeyote asiwashawishi kuichagua. Na kama una ndugu usimshawishi kusoma hiyo kozi.

Hii Kozi Wahitimu wake hawaajiriwi Si Serikalini ama Private. Wanapendelea kuajiri wenye Diploma na Certificate.
Ukibahatika labda ujitolee ulipwe Chini ya 300K.

Mfano Hizi Ajira za Juzijuzi, Walioajiriwa wenye Degree ni 70 tuu. Na wote ni wahitimu wa 2018 kushuka chini.
Kwahiyo hapo utaona kuna Vijana Wengi wa 2018, 2019, 2020,+2021, Wapo mtaani.

Huku Certificate uuguzi walioajiliwa na Tamisemi ni zaidi ya 3076. Na bado waziri akasema wanahitajika bado.

Wenzenu MD, Vijana waliohitimu 2020 na kumaliza Internship 2021, wengi tuu wamepata Ajira.

Mkikosa Dental, MD, Radiology, Pharmacy, Labs, Biomedical, hamieni hata diploma.
Nursing usiiweke kwenye Options zako.

Mimi nimemaliza msiseme sikuwaambia.
 
Kwanza hongereni kwa kufaulu Mitihani yenu ya Kidato cha Sita.
Kwa wale mliofeli poleni , ndio maisha hayo.

Nije kwenye mada,
Nawashauri tena Mapema kabisa, hii kozi inayoitwa Bachelor of Science in Nursing( BSN au BScN). Ikimbieni.

Msije mkajichanganya kuichagua, au Mtu awae yeyote asiwashawishi kuichagua. Na kama una ndugu usimshawishi kusoma hiyo kozi.

Hii Kozi Wahitimu wake hawaajiriwi Si Serikalini ama Private. Wanapendelea kuajiri wenye Diploma na Certificate.
Ukibahatika labda ujitolee ulipwe Chini ya 300K.

Mfano Hizi Ajira za Juzijuzi, Walioajiriwa wenye Degree ni 70 tuu. Na wote ni wahitimu wa 2018 kushuka chini.
Kwahiyo hapo utaona kuna Vijana Wengi wa 2018, 2019, 2020,+2021, Wapo mtaani.

Huku Certificate uuguzi walioajiliwa na Tamisemi ni zaidi ya 3076. Na bado waziri akasema wanahitajika bado.

Wenzenu MD, Vijana waliohitimu 2020 na kumaliza Internship 2021, wengi tuu wamepata Ajira.

Mkikosa Dental, MD, Radiology, Pharmacy, Labs, Biomedical, hamieni hata diploma.
Nursing usiiweke kwenye Options zako.

Mimi nimemaliza msiseme sikuwaambia.
Hizi kazi ni kama uaskari tu... kujaza degree kwenye uuguzi wakati wenye astashada wanakidhi mahitaji ni kupoteza pesa tu.
 
Kwanza hongereni kwa kufaulu Mitihani yenu ya Kidato cha Sita.
Kwa wale mliofeli poleni , ndio maisha hayo.

Nije kwenye mada,
Nawashauri tena Mapema kabisa, hii kozi inayoitwa Bachelor of Science in Nursing( BSN au BScN). Ikimbieni.

Msije mkajichanganya kuichagua, au Mtu awae yeyote asiwashawishi kuichagua. Na kama una ndugu usimshawishi kusoma hiyo kozi.

Hii Kozi Wahitimu wake hawaajiriwi Si Serikalini ama Private. Wanapendelea kuajiri wenye Diploma na Certificate.
Ukibahatika labda ujitolee ulipwe Chini ya 300K.

Mfano Hizi Ajira za Juzijuzi, Walioajiriwa wenye Degree ni 70 tuu. Na wote ni wahitimu wa 2018 kushuka chini.
Kwahiyo hapo utaona kuna Vijana Wengi wa 2018, 2019, 2020,+2021, Wapo mtaani.

Huku Certificate uuguzi walioajiliwa na Tamisemi ni zaidi ya 3076. Na bado waziri akasema wanahitajika bado.

Wenzenu MD, Vijana waliohitimu 2020 na kumaliza Internship 2021, wengi tuu wamepata Ajira.

Mkikosa Dental, MD, Radiology, Pharmacy, Labs, Biomedical, hamieni hata diploma.
Nursing usiiweke kwenye Options zako.

Mimi nimemaliza msiseme sikuwaambia.
Sorry mkuu, hivi mtu aliyesoma CBG anaweza pata nafasi ya kusoma nursing au degree nyingine yoyote ya afya ipi
 
Kwanza hongereni kwa kufaulu Mitihani yenu ya Kidato cha Sita.
Kwa wale mliofeli poleni , ndio maisha hayo.

Nije kwenye mada,
Nawashauri tena Mapema kabisa, hii kozi inayoitwa Bachelor of Science in Nursing( BSN au BScN). Ikimbieni.

Msije mkajichanganya kuichagua, au Mtu awae yeyote asiwashawishi kuichagua. Na kama una ndugu usimshawishi kusoma hiyo kozi.

Hii Kozi Wahitimu wake hawaajiriwi Si Serikalini ama Private. Wanapendelea kuajiri wenye Diploma na Certificate.
Ukibahatika labda ujitolee ulipwe Chini ya 300K.

Mfano Hizi Ajira za Juzijuzi, Walioajiriwa wenye Degree ni 70 tuu. Na wote ni wahitimu wa 2018 kushuka chini.
Kwahiyo hapo utaona kuna Vijana Wengi wa 2018, 2019, 2020,+2021, Wapo mtaani.

Huku Certificate uuguzi walioajiliwa na Tamisemi ni zaidi ya 3076. Na bado waziri akasema wanahitajika bado.

Wenzenu MD, Vijana waliohitimu 2020 na kumaliza Internship 2021, wengi tuu wamepata Ajira.

Mkikosa Dental, MD, Radiology, Pharmacy, Labs, Biomedical, hamieni hata diploma.
Nursing usiiweke kwenye Options zako.

Mimi nimemaliza msiseme sikuwaambia.
Wamekusikia..nadhani watafanyia kazi muongozo wako.

Ila wasiogope kusoma kozi yoyote wanayoipenda wewe huoni bado kuna watu wasomea ualimu na wamejazana vyuoni.

Acha wasome mengine yatajulikana badae.

#MaendeleoHayanaChama
 
Mkuu nina division 1.9 PCB...... physics..B, chemistry..C,na biology..D,ninaweza kusoma kozi gani ya afya, binafsi ndoto yangu ni dental.... msaada kwenye hili tafadhali 🙏🙏.
Ingia tcu.go.tz download admission guide ya f6 tafuta programs za afya utaziona.
 
Kwanza hongereni kwa kufaulu Mitihani yenu ya Kidato cha Sita.
Kwa wale mliofeli poleni , ndio maisha hayo.

Nije kwenye mada,
Nawashauri tena Mapema kabisa, hii kozi inayoitwa Bachelor of Science in Nursing( BSN au BScN). Ikimbieni.

Msije mkajichanganya kuichagua, au Mtu awae yeyote asiwashawishi kuichagua. Na kama una ndugu usimshawishi kusoma hiyo kozi.

Hii Kozi Wahitimu wake hawaajiriwi Si Serikalini ama Private. Wanapendelea kuajiri wenye Diploma na Certificate.
Ukibahatika labda ujitolee ulipwe Chini ya 300K.

Mfano Hizi Ajira za Juzijuzi, Walioajiriwa wenye Degree ni 70 tuu. Na wote ni wahitimu wa 2018 kushuka chini.
Kwahiyo hapo utaona kuna Vijana Wengi wa 2018, 2019, 2020,+2021, Wapo mtaani.

Huku Certificate uuguzi walioajiliwa na Tamisemi ni zaidi ya 3076. Na bado waziri akasema wanahitajika bado.

Wenzenu MD, Vijana waliohitimu 2020 na kumaliza Internship 2021, wengi tuu wamepata Ajira.

Mkikosa Dental, MD, Radiology, Pharmacy, Labs, Biomedical, hamieni hata diploma.
Nursing usiiweke kwenye Options zako.

Mimi nimemaliza msiseme sikuwaambia.
Tumekusikia lakini watu wasome wapendacho. Nursing ina future nzuri hata kimataifa. Soko letu la ajira haliko stable leo chini na kesho juu. Ukianza nursing leo utamaliza baada ya miaka 4, nani ajuaye hali itakuwaje.
 
Option 1
Soma Nursing maliza degree yako tafuta passport zama nchi za watu kula maisha

Nursing ina future kubwa nje kuliko MD huko Zimbabwe watu wana soma short course za Nursing assistant wanaacha kazi wengine ni Mameneja wa Benki ili wakale maisha nje

Option 2
Zama mashirika ya Humanitarian omba hata volunteering kuna maisha sana huko

Option 3

Fungua maternal clinic yako utapiga pesa sana..
 
Hizi kazi ni kama uaskari tu... kujaza degree kwenye uuguzi wakati wenye astashada wanakidhi mahitaji ni kupoteza pesa tu.
ndio ukweli huo, aslimia kubwa nurse wa cheti anagonga kazi kribia zote hana tofauti na huyo wa degree, wa degree wanataka utawala tu
 
Back
Top Bottom