Recent content by Matawi ya juu

  1. M

    JamiiForums Tanzania Tanga : Kiwanda cha kuchakata mchanga mzito wa bahari au heavy minerals sand kinajengwa Pangani

    Hayo madini yanatumika vipi na kwenye nini, thamani yake? yanaitwaje in English
  2. M

    JamiiForums Tanzania Hakuna siku ngumu kwa mzazi kama ya kumpeleka shule mtoto kwa mara ya kwanza

    Hakuna ugumu wowote,atalia na kurusha miguu, in two days anazoea shuleni kuliko home,mnajiendekeza tuu
  3. M

    JamiiForums Tanzania ACHA KUTULILIA MAJIRANI, VAA KANGA UTULIE NDANI

    Kazi ni kazi,acha ujinga
  4. M

    JamiiForums Tanzania Kajala; Madaktari wameniambia nakaribia kupalalaizi mishipa haifanyi kazi

    Yote maisha tuu,yatapita tuu kama mengine, all the best Kajala
  5. M

    JamiiForums Tanzania Vurugu ya middle east imekuwa kubwa sana

    Stupid and tribalist Congolese government wanawakatalia M23/banyamurenge haki zao za uraia ndio root cause ya vita na ilianza wakati wa dikteta Mobutu,SADCC wanampigania nani 🤔, M23 wako pale kwa sababu ni kwao and fighting for their rights and survival
  6. M

    JamiiForums Tanzania Janeth Rithe: Sasa hivi ukiingia kwenye siasa ujikane tu nafsi yako, kuna watu wamejifunza kuua na sisi tunatakiwa kujifunza kufa

    Ni kwa bongo tuu na nchi za hovyo na watu wa hovyo kama CCM na kina Samuya, ila kweli nchi ilipofikia inasikitisha sana
  7. M

    JamiiForums Tanzania Vurugu ya middle east imekuwa kubwa sana

    Beberu anajua oil and gas businesses ndio zinafikia mwisho na nguvu yao kubwa kutokana na petrodollar inaenda kwisha pia,wanachofanya ni kukamua za mwisho mwisho,mchina alichofanya kwenye renewables (nishati safi) na electric cars technology ndio msumari wa mwisho kwa beberu 😁,dunia itabadilika sana
  8. M

    JamiiForums Tanzania Vurugu ya middle east imekuwa kubwa sana

    Ukitaka kujua Trump na wenzake wamefanikiwa, wazungu wanasema follow the money 😁,angalia share za makampuni ya mafuta zilivyopanda tangu vita ianze
  9. M

    JamiiForums Tanzania Natafuta Variable Frequency Drive

    Sema horsepower,amperage na voltage zipo kwenye motor nameplate, nitakuambia exact what to buy kabla hujaikaanga machine yako
  10. M

    JamiiForums Tanzania Natafuta Variable Frequency Drive

    Lazima ujue HP na voltage ya motor sio kununua tuu
  11. M

    JamiiForums Tanzania U'Magufuli' wa Mwigulu wawaibua Mange, Maria Sarungi na Kigogo

    Sisi tunaenda na Nchimbi 🐒🐒🐒🐒
  12. M

    JamiiForums Tanzania Vurugu ya middle east imekuwa kubwa sana

    Ndio plan ya Trump na wenzake,wamechukua Venezuela, biggest oil producer Russia yuko hoi ,middle East oil infrastructure zinapigwa viberiti, unafikiri nani anafaidika😁
  13. M

    JamiiForums Tanzania Mwigulu hapenyi 2030 — Kuna nini kinawatisha?

    Mwigulu acha kujipa umuhimu na promotion za kijinga
  14. M

    JamiiForums Tanzania Kituo Kikuu cha mabasi cha Magufuli?? Kituo Kikuu cha treni/SGR cha Magufuli??

    Wewe ndio unaleta siasa na uchawa
Back
Top Bottom