Recent content by Matawi ya juu

  1. M

    JamiiForums Tanzania Mimi na mzee wangu hatuko sawa, na sioni dalili ya kuja kuwa sawa tena

    Kuna ukweli, at 35 mabuda wengi wa kibongo wako 70s wameshajichokea na wewe una drama zako nyumbani wanakusumbua kama ulivyomsumbua buda wako, kamoja kamekimbia home na kengine kana miaka 8 hakajui kusoma halafu ukiangalia life limekuchapa vizuri, ukiangalia zaidi unaona life kwa buda ilikuwa...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Chalamila, Stendi ya mabasi ya Magufuli ni ndogo. Mabasii yanakosa sehemu ya kushushia na kuegesha

    Hiyo bati ya stendi mbona imepondeka tayari 🤔,quality ndogo
  3. M

    JamiiForums Tanzania Napendekeza Tundu Lisu aachiwe huru kwa mujibu wa sheria, akamatwe tena na kufunguliwa mashtaka upya yenye ushahidi mpya uliothibishwa.

    Nyerere aliwahi kusema yule hawezi hata kuwa katibu kata, naamini alikuwa anakuongelea wewe
  4. M

    JamiiForums Tanzania Mimi na mzee wangu hatuko sawa, na sioni dalili ya kuja kuwa sawa tena

    Najua ulikuwa na nia nzuri lakini ukishamkanya na kumweleza mtu akawa anarudia, unamwacha dunia itamfundisha, ukiendelea mtagombana tuu hata kama ni mtoto wako, na inawezekana hatuko right kuliko wao
  5. M

    JamiiForums Tanzania Levels 4 za Kutumia AI: Kutoka Kuuliza Maswali Hadi Kuwa na Mfanyakazi wa AI

    Itabidi bongo watu waanze kuchukua course za namna ya kutumia AI kama ilivyokuwa wakati wa software developers, hii kitu is a real deal, US na China sasa kuna trend inaitwa (OPC) one person company, mtu mmoja anaendesha kampuni yote akisaidiwa na AI, kuna jamaa katengeneza zaidi ya one billion...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Mimi na mzee wangu hatuko sawa, na sioni dalili ya kuja kuwa sawa tena

    Pole sana, hili liwe fundisho humu pia , kama una ukali wa kijingajinga kwa sababu unalipa bill acha, unaharibu familia, 2 things in life ukiwa na mke na watoto zingatia love na kulipa bills 😁 hakuna kitakacho haribika
  7. M

    JamiiForums Tanzania Esma platinumz; Diamond ni ndoto ya kila mwanamke ukinitoa mimi dada yake

    Mwacheni amtetee kaka yake
  8. M

    JamiiForums Tanzania Narudi nikiwa unstoppable.

    Dogo acha kunywa pombe za bei rahisi halafu ukilewa unaposti
  9. M

    JamiiForums Tanzania Narudi nikiwa unstoppable.

    Mwenyewe umechanganya hapi,ENG na Swahili ndio lugha gani
  10. M

    JamiiForums Tanzania Naomba kujua Adam na Hawa walizikwa wapi, Je kuna ushahidi wowote?

    Ngano za kale, imani tumeletewa na mkoloni hizi hata wenyewe wengi wameacha kuamini, ukiwa open na kujielimisha utagundua kuna miungu sana kuliko huyu tuliyefundishwa na mkoloni, safari Asia kuanzia India, China,Japan etc kule billions of people wana miungu yao
  11. M

    JamiiForums Tanzania Tuhuma zinazomkabili John Heche, wenyeviti 15 wa CHADEMA Morogoro wasusia kikao cha mkoa

    Wameshapewa buku saba, pumbaf sana
  12. M

    JamiiForums Tanzania TEMBO WASUMBUA ISHAKUA KERO HUKU

    Mnataka wale wapi, nyie ndio wavamizi
  13. M

    JamiiForums Tanzania Stori za Wanawake wanaojiita High Class Pisi Kali, ni kujadili Jinsi ya kupata waume za watu wenye hela.

    Unachekelea umepata support😁,bado ni chai tuu
Back
Top Bottom