Recent content by Matawi ya juu

  1. M

    DOKEZO Mradi wa SGR Mwanza Ndio Basi tena

    Rwanda ina 15 million people, Kahama hata million moja haijafika, huna data na acha siasa mambo muhimu ya kiuchumi, acha math and economics ziamue
  2. M

    Urusi hawatupi washirika wake, Yuko Iran na sasa kapeleka mafuta Cuba, kavunja vikwazo vya Trump

    US hata jirani ambaye ni communist, anasema ni hatari kwa afya yake, ningekuwa Cuba ningefungua market zote na kurudi mstalini maisha yaendelee
  3. M

    Vita Vya Iran: Kibri Kinaangamiza

    Iran aliua waandamanaji elfu 12 na zaidi, apigwe tuu
  4. M

    Miundombinu Tanzania bado sana

    Dar is a slum compared na Harare, walipata shida kidogo hapo nyuma lakini they are back now
  5. M

    Urusi hawatupi washirika wake, Yuko Iran na sasa kapeleka mafuta Cuba, kavunja vikwazo vya Trump

    Cuba wana hali mbaya sana,Marco Rubio ndio engineer wa hii kitu, sioni communist party iki survive hii kitu
  6. M

    Miundombinu Tanzania bado sana

    Umefika Zimbabwe au kuiona Harare online 😁
  7. M

    Miundombinu Tanzania bado sana

    Tatizo mojawapo ni mgawanyo wa kodi inapokusanywa, halmashauri zinaachiwa asilimia 2-3, nyingine zote zinaenda hazina, unakuta miji inasubiri huruma ya mafisadi ya serikali Dar kujenga hata choo cha stendi, nafikiri pesa nyingi ziachwe zinapokusanywa kufanya maendeleo kama barabara
  8. M

    Miundombinu Tanzania bado sana

    Sawa boss, lakini uliuliza miji mikubwa sio mikoa mikubwa
  9. M

    Miundombinu Tanzania bado sana

    Kwa idadi ya watu na maendeleo, Mwanza ipo top 3
  10. M

    Miundombinu Tanzania bado sana

    Sio serikali hii ya wezi na wazembe
  11. M

    Miundombinu Tanzania bado sana

    Yes mkubwa sana
  12. M

    President William Ruto Vows To Return Property to Late Nderitu’s Family

    Sheria ifuatwe na iamue sio mwanasiasa, pumbaf
Back
Top Bottom