Kuna ukweli, at 35 mabuda wengi wa kibongo wako 70s wameshajichokea na wewe una drama zako nyumbani wanakusumbua kama ulivyomsumbua buda wako, kamoja kamekimbia home na kengine kana miaka 8 hakajui kusoma halafu ukiangalia life limekuchapa vizuri, ukiangalia zaidi unaona life kwa buda ilikuwa...
Najua ulikuwa na nia nzuri lakini ukishamkanya na kumweleza mtu akawa anarudia, unamwacha dunia itamfundisha, ukiendelea mtagombana tuu hata kama ni mtoto wako, na inawezekana hatuko right kuliko wao
Itabidi bongo watu waanze kuchukua course za namna ya kutumia AI kama ilivyokuwa wakati wa software developers, hii kitu is a real deal, US na China sasa kuna trend inaitwa (OPC) one person company, mtu mmoja anaendesha kampuni yote akisaidiwa na AI, kuna jamaa katengeneza zaidi ya one billion...
Pole sana, hili liwe fundisho humu pia , kama una ukali wa kijingajinga kwa sababu unalipa bill acha, unaharibu familia, 2 things in life ukiwa na mke na watoto zingatia love na kulipa bills 😁 hakuna kitakacho haribika
Ngano za kale, imani tumeletewa na mkoloni hizi hata wenyewe wengi wameacha kuamini, ukiwa open na kujielimisha utagundua kuna miungu sana kuliko huyu tuliyefundishwa na mkoloni, safari Asia kuanzia India, China,Japan etc kule billions of people wana miungu yao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.