Recent content by matatajungu

  1. matatajungu

    Plot4Sale Viwanja Dodoma katika barabara ya mzunguko na msalato Airport

    Dodoma ni jiji linalokua kwakasi kubwa mno, dodoma Ndio jiji pekee Africa mashariki na kati litakalokua na barabara ya mzunguko ukiitoa South Africa. Barabara ambayo utazunguka mkoa mzima wa dodoma na kusaidia shughuli za uwekezaji kukua kwa kasi ya ajabu,’ muda ni sasa wekeza dodoma wekeza...
  2. matatajungu

    Kitabu cha Abdulwahid Kleist Sykes (1924 - 1968) katika PDF

    Jamani wandugu nami naomba nisome hiki kitabu tafadhali
  3. matatajungu

    Miss Tanzania itaanza saa ngapi?

    Habary za weekend ndugu. Naomb kuuliza mashindano ya kumtafut miss Tanzania 2016 yataanza saa ngp leo?
  4. matatajungu

    Je, hizi ndio tabia za wanawake?

    Kaka me cjaoa ila kutokana na hali kama hyo haina haja ya kurisk kutafut mwanamk mwingin aje akulelee wanao, Sawa sikatai kwamb sio wanawak wote ndo wenatabia hizo ila tatizo linakuja Nani ndiye Nani siye sasa huon kwamb hyo ni risk. Nimewaza sana umemkuza mtoto toka miak 3 had 11, bila mama aje...
  5. matatajungu

    Nataka niachane na mke wangu nimuoe binti wa kinyaturu

    Hivi ww unaakil kwel ww mkapime ukwimw mtu ulivua kondom, kwanz umekuja kuomb ushaur au umekuja kulet simulizi,,,,,,,,, [emoji35] [emoji35] kujitambua kazi sana mkuu haya kil la khery
  6. matatajungu

    Nina damu group O+, Ufafanuzi kuhusu group hii

    Mkuu Je 0+ na 0+ wanaweza produce bila tatizo???
  7. matatajungu

    Msaada: Nina roho mbaya sana jamani

    Mkuu hyo roho nzur sana, tena unatakiwa ujivunie mzee
  8. matatajungu

    Je, Umewahi kusumbuliwa na tatizo la upungufu wa nguvu za kiume na ukapona? Njoo tuambie hapa

    Thanks God......... Asubuh huwa napig mchanganyiko wang wa tikikiti, karoti moja na ndiz moja then mchana tahakikisha napiga dona la ujazo lisilo na mboga za mafuta nyingi may b kisamaki kimekaushwa hapo na kamchicha kidogo afu maji nayokunywa toka asubuh si mchezo, then usiku piga hata kawali...
  9. matatajungu

    Who is a Pharmacist?

    Nicpocoment hapa takua chizi [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
  10. matatajungu

    Nishaurini nifanyeje mpenzi wangu wa huko Tanzania asiniache maana nipo nje kikazi

    Afu huyo dada na yeye anaambiwa vivo hvyo KAM BOYFRND ANAKUPEND KWEL BASI ATAKUTAFUTA cz anasema huko kwa mashost kwamb umeend NJE, afu huku wanakwambia Kam anakupnd bas atakutafuta... Matokeo yake nn???? Huhuhu huhuhu unaloliwaz wew ndio sahih asikwambie m2 hisia ooooh!!! Mpigie ngoma yako Ipe...
Back
Top Bottom