Recent content by MATAKATAKA

  1. M

    Alikufa tar 24/7 na alizaliwa tar 24/7 na zote zikiwa ni Ijumaa

    Binafsi naweza kusoma koment yako na kukuelewa we ni mtu wa namnagani, kwanza kabisa ni mtu ambaye huna busara 2. Ni mtu unayependa kuongea kitu na kutaka kila mtu akusikilize 3. Ni mtu unayejikweza japokuwa huna kitu 4. Ni mtu unayependa mazozano na watu bila kujali ni wa rika gani(hii ndio...
  2. M

    Uchawi: Hii ndio athari ya kutumia dawa ya kuona wachawi

    we nawe huna lolote, dawa gani usiyoisema watu wakaijua, umekalia umbea tu, kubwa j.inga wewe
  3. M

    Huu ni ukichaa

    jamaa mtoa uzi umenena ya kweli kabisa
  4. M

    Ni kwanini wanawake walio wengi wanapenda kuomba omba hela katika mahusiano?

    Embu na ww kuwa na akili za ki utu uzima usiwe kama poyoyo, kuna sehemu iliyozungumzia mke kama mke?
  5. M

    Ni kwanini wanawake walio wengi wanapenda kuomba omba hela katika mahusiano?

    Najaribu kutengeneza picha yako jinsi ulivyo mkuu.
  6. M

    Hii imekaaje ndugu zangu?

    Kwa hiyo umeibiwa au?
  7. M

    Binti kamwaga ugali, wakuu na mimi nimwage mboga?

    mimi nasemaje lazima uoneshe uanaume, huyo anatakiwa akatwe kichwa tuuu na hakuna dawa nyingine.
  8. M

    Binti kamwaga ugali, wakuu na mimi nimwage mboga?

    yani ukimconfirm tuu me najinyonga haki ya nani.
  9. M

    Binti kamwaga ugali, wakuu na mimi nimwage mboga?

    mkuu nakwambiaje hakuna kumcomfirm huyo mtoto kwanza kaonesha nidhamu mbovu, na nakwambiaje ukimcomfirm kuanzia leo ww hufai kuwa hr na bora ufe tuu, yani natamani me ndio ningekutwa na ilo janga alafu uone ambavyo huyo dogo anavyoanguka kwa presha, zijue sababu za mimi kusisitiza usi mconfirm...
Back
Top Bottom