Binafsi naweza kusoma koment yako na kukuelewa we ni mtu wa namnagani, kwanza kabisa ni mtu ambaye huna busara 2. Ni mtu unayependa kuongea kitu na kutaka kila mtu akusikilize 3. Ni mtu unayejikweza japokuwa huna kitu 4. Ni mtu unayependa mazozano na watu bila kujali ni wa rika gani(hii ndio...
mkuu nakwambiaje hakuna kumcomfirm huyo mtoto kwanza kaonesha nidhamu mbovu, na nakwambiaje ukimcomfirm kuanzia leo ww hufai kuwa hr na bora ufe tuu, yani natamani me ndio ningekutwa na ilo janga alafu uone ambavyo huyo dogo anavyoanguka kwa presha, zijue sababu za mimi kusisitiza usi mconfirm...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.