Bishweko
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 4,280
- 2,980
- Thread starter
- #21
Ni hivi km huyo kaoa dadake na dadake ni mkubwa kwenye familia basi huwa wana mamlaka hayo km wazazi wamemuarifu afanye kutokana na umbali au uzoefu wa kukabiliana na ww. Hiyo nikukubana wewe mwizi wa binti yao. So wako sahihi kwa tamaduni za huko. Kalipe mahari utakaaje na mtoto wa mwenzio unamtumia bila ghalama...
Mkuu inamaana mahari kwa wahehe ni lazima na si kuwa makubaliano kati ya wazazi na muoaji.