nimelipenda hili bandiko watu tunachafuana huko makazini kisa tu kwa nini fulani ana maendeleo mimi sina itakuwa tu mla rushwa mzuri,jamani maisha bila mipango ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu
pole sana ndugu, binti yangu alizaliwa na hilo tatizo ila kwa bahati alipona kabla hajafikisha mwaka, tulitumia dawa za hospitali na pia kuna mtu alinishauri nimpake mafuta ya ubuyu mpaka sasa ana miaka minne yupo ok. jaribu kuyatumia yanaweza kukusaidia
ni kweli tupu mi mwenyewe niliwahi kuwakopesha ndugu wanne kwa muda tofauti sijaambulia hata mia na ninavyoandika hapa kuna mwingine kaniomba nimwazime laki, hapa napiga mahesabu ya kumpa tuu. HAWA WATU HAWALIPI DENI
aisee kweli wewa forodhani, mimi mwenyewe namkumbuka sana munira alikuwa mkali balaa ,vijanawa forodhani wamekuoa sana kwa macho sababu ilikuwa kama unakisu ndo utampata
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.