Tatizo sio kulipa kodi tatizo ni matumizi ya kodi zetu, mimi ni miongoni mwa wafanya biashara wakubwa hapa Dsm, niaapa naahidi kukwepa kodi, kwa hali na mali......hadi pale nitakapoona mabadiliko.
Hapa kazi tu..... kazi gani? Kwa namna gani kwani kabla ya awamu hii ya 5 tulikua hatufanyi kazi?......kuhusu suala la mauaji usitumie yale yaliyotokea sehemu nyingine kuhalalisha huu udhalimu mnaoufanya....Ova
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.