Kwel dunia ipo ukingon ,Yesu alisema mtatukanwa na kuawa kwa ajili ya Jina Langu.kwel kama maaskofu ndo wanapokea matus kutoka pale jengo la Lumumba tena bila hat kufcha Mungu atawateteaBawdhi ya Maaskofu hovyo kabisa kama wanataka siasa wajiunge na siasa waache uinjilisti na Utume
Hapo ulipo, funga hiyo baa, waite marafiki zako, kunyweni balimi (au chochote) tani yenu. Ninakuja kulipia.Nitumie fursa hii kukumbusha machache,,
Mosi
Rais wa awamu ya tano alichaguliwa na wananchi katika uchaguzi wa mwaka 2015,uchaguzi ulijumuisha vyama vyote akina CHADEMA wakiwemo.Wananchi kupitia kura zao waliikataa CHADEMA na viongozi wao,njia sahihi na ya kidemokrasia ni kusubiri 2020.
PILI
Hoja ya watu kupotea na kuuwawa
Jamii yoyote popote ina uasi na mauaji.Tupac mmarekani alipigwa risasi,Lucky Dube alipigwa risasi,Tom mbuya wa kenya aliuwawa sababu hatujui hadi leo,Mwanamziki Jimmy Reeves alitunguliwa na ndege na mifano mingine mingi.Sikusikia wananchi wanaandama kuiondoa serikali kisa matukio haya ya kihalifu.Watu wanaweza uwawa kutokana na sababu tofauti tofauti ndani ya jamii,mfano mtu katembea na mke wa mtu,dhuluma,kugombania mashamba n.k utakuwa ni mtu usiekuwa na akili endapo utaihusisha serikali na mauaji yanayotokea katika jamii,kwa kifupi utakuwa una lako jambo unalotaka kulihalalisha hata kwa sababu za kutunga na za uasi dhidi ya serikali ya wananchi
TATU
Watu wanao okotwa
Hivi ukikuta mtu kafa njiani au kafichwa mahali ni serikali ndio inafanya hayo? Do you have brain? Yule mtu alokutwa kafa na kutupwa mto ndabaka juzi juzi ni serikali ilihusika? Yule ndugu alomuua mkewe na kumficha kwenye pango la mti singida ni serikali ilihusika?Mauaji yalikuwepo tangu zamani na hayaja anza leo.Maaskofu mna kila sababu ya kubeba lawama katika hili kwani mmesahau kazi yenu ya kuwafundisha watu kumrudia Mungu,badala yake mmekalia siasa ambayo sio wito wenu,,,
MWISHO
Hakuna haki iliyo minywa,ni ulafi wa madaraka na njaa ya tumbo ndio inasumbua baadhi ya wanasiasa
Jiulize,,
Kuna chama kinazuiwa kushiriki uchaguzi,,hapana
Uchaguzi wa 2015 kuna majimbo yalienda upinzani,,Ndio. Walishindaje kama hakuna haki?
Esther Bulaya alimshinda Wasira mahakamani,,,Ndio ni haki gani zaidi mnayo taka?
Vyama vya upinzani vina uhuru wa kufanya vikao? ,Ndio hata leo CDM wamekutana,,haki gani zaidi??
In short acheni kuivuruga serikali tuloichagua sisi,,subirini 2020,,
LONG LIVE JPM:HAPA KAZI TU
Mkuu dua yetu siku..zote hua ni mungu ibariki tanzania na watu wake,ibariki afrika...lakini siku hizi tunamuombea mtu mmoja tu....Nitumie fursa hii kukumbusha machache,,
Mosi
Rais wa awamu ya tano alichaguliwa na wananchi katika uchaguzi wa mwaka 2015,uchaguzi ulijumuisha vyama vyote akina CHADEMA wakiwemo.Wananchi kupitia kura zao waliikataa CHADEMA na viongozi wao,njia sahihi na ya kidemokrasia ni kusubiri 2020.
PILI
Hoja ya watu kupotea na kuuwawa
Jamii yoyote popote ina uasi na mauaji.Tupac mmarekani alipigwa risasi,Lucky Dube alipigwa risasi,Tom mbuya wa kenya aliuwawa sababu hatujui hadi leo,Mwanamziki Jimmy Reeves alitunguliwa na ndege na mifano mingine mingi.Sikusikia wananchi wanaandama kuiondoa serikali kisa matukio haya ya kihalifu.Watu wanaweza uwawa kutokana na sababu tofauti tofauti ndani ya jamii,mfano mtu katembea na mke wa mtu,dhuluma,kugombania mashamba n.k utakuwa ni mtu usiekuwa na akili endapo utaihusisha serikali na mauaji yanayotokea katika jamii,kwa kifupi utakuwa una lako jambo unalotaka kulihalalisha hata kwa sababu za kutunga na za uasi dhidi ya serikali ya wananchi
TATU
Watu wanao okotwa
Hivi ukikuta mtu kafa njiani au kafichwa mahali ni serikali ndio inafanya hayo? Do you have brain? Yule mtu alokutwa kafa na kutupwa mto ndabaka juzi juzi ni serikali ilihusika? Yule ndugu alomuua mkewe na kumficha kwenye pango la mti singida ni serikali ilihusika?Mauaji yalikuwepo tangu zamani na hayaja anza leo.Maaskofu mna kila sababu ya kubeba lawama katika hili kwani mmesahau kazi yenu ya kuwafundisha watu kumrudia Mungu,badala yake mmekalia siasa ambayo sio wito wenu,,,
MWISHO
Hakuna haki iliyo minywa,ni ulafi wa madaraka na njaa ya tumbo ndio inasumbua baadhi ya wanasiasa
Jiulize,,
Kuna chama kinazuiwa kushiriki uchaguzi,,hapana
Uchaguzi wa 2015 kuna majimbo yalienda upinzani,,Ndio. Walishindaje kama hakuna haki?
Esther Bulaya alimshinda Wasira mahakamani,,,Ndio ni haki gani zaidi mnayo taka?
Vyama vya upinzani vina uhuru wa kufanya vikao? ,Ndio hata leo CDM wamekutana,,haki gani zaidi??
In short acheni kuivuruga serikali tuloichagua sisi,,subirini 2020,,
LONG LIVE JPM:HAPA KAZI TU
Hawawezi kuwa wa hovyo kama baba yako waliosimama clouds Tv nakushindwa kukutaja kwamba una it wa Daudi Albert bashite nakushindwa kuueleza umma kwa nini unapumuliwa kisogoniBawdhi ya Maaskofu hovyo kabisa kama wanataka siasa wajiunge na siasa waache uinjilisti na Utume
Ni baadhi ya viongozi wa dini waliokua wananufaika na mfumo flani wa kuijiingizia vipato kwa mgongo wa dini sasa hivi kumebwanwa nanajaribu njia nyingi ili ionekane badhi ya mamabo ya serikali sio sawa kwa chuki binafsiViongozi wa dini mnakera sana mnapokosoa serikali inayotimiza wajibu wake. Hivi nyie maaskofu mngekuwa ndo rais wa tanzania mngeruhusu kila upuuzi utokee ndani ya utawaka wenu?
Mwacheni magufuli apige kazi.
mtumwa wa B7 ataelewa kweli, ngoja nisubiri.Mkuu serikali ina dhima ya kulinda aman, kwahiyo hata kama haijaua yenyewe basi italaumiwa kwa kushindwa kuwalinda, pia kuuawa kwa 2pac hakuhalalishi mauaji Tz.
Pia utambue kuwa vyama pizani sio uasi, vipo kisheria
"jaruri, napendkeza mshahara wa msemaji mkuu wa serikali na mwenezi wa CCM wa mwezi huu kama haujalipwa upewe weweNitumie fursa hii kukumbusha machache,,
Mosi
Rais wa awamu ya tano alichaguliwa na wananchi katika uchaguzi wa mwaka 2015,uchaguzi ulijumuisha vyama vyote akina CHADEMA wakiwemo.Wananchi kupitia kura zao waliikataa CHADEMA na viongozi wao,njia sahihi na ya kidemokrasia ni kusubiri 2020.
PILI
Hoja ya watu kupotea na kuuwawa
Jamii yoyote popote ina uasi na mauaji.Tupac mmarekani alipigwa risasi,Lucky Dube alipigwa risasi,Tom mbuya wa kenya aliuwawa sababu hatujui hadi leo,Mwanamziki Jimmy Reeves alitunguliwa na ndege na mifano mingine mingi.Sikusikia wananchi wanaandama kuiondoa serikali kisa matukio haya ya kihalifu.Watu wanaweza uwawa kutokana na sababu tofauti tofauti ndani ya jamii,mfano mtu katembea na mke wa mtu,dhuluma,kugombania mashamba n.k utakuwa ni mtu usiekuwa na akili endapo utaihusisha serikali na mauaji yanayotokea katika jamii,kwa kifupi utakuwa una lako jambo unalotaka kulihalalisha hata kwa sababu za kutunga na za uasi dhidi ya serikali ya wananchi
TATU
Watu wanao okotwa
Hivi ukikuta mtu kafa njiani au kafichwa mahali ni serikali ndio inafanya hayo? Do you have brain? Yule mtu alokutwa kafa na kutupwa mto ndabaka juzi juzi ni serikali ilihusika? Yule ndugu alomuua mkewe na kumficha kwenye pango la mti singida ni serikali ilihusika?Mauaji yalikuwepo tangu zamani na hayaja anza leo.Maaskofu mna kila sababu ya kubeba lawama katika hili kwani mmesahau kazi yenu ya kuwafundisha watu kumrudia Mungu,badala yake mmekalia siasa ambayo sio wito wenu,,,
MWISHO
Hakuna haki iliyo minywa,ni ulafi wa madaraka na njaa ya tumbo ndio inasumbua baadhi ya wanasiasa
Jiulize,,
Kuna chama kinazuiwa kushiriki uchaguzi,,hapana
Uchaguzi wa 2015 kuna majimbo yalienda upinzani,,Ndio. Walishindaje kama hakuna haki?
Esther Bulaya alimshinda Wasira mahakamani,,,Ndio ni haki gani zaidi mnayo taka?
Vyama vya upinzani vina uhuru wa kufanya vikao? ,Ndio hata leo CDM wamekutana,,haki gani zaidi??
In short acheni kuivuruga serikali tuloichagua sisi,,subirini 2020,,
LONG LIVE JPM:HAPA KAZI TU
The definition of oppression is very subjective ,being obedient to the authority put on earth by God is never oppression ,,but trying to overthrow the chosen government is a trison and you know the proportional penalty[HASHTAG]#HAPAKAZITU[/HASHTAG]