Waraka kwa CHADEMA na Maaskofu

Waraka kwa CHADEMA na Maaskofu

Uchaguzi gani huo uliojaa ubabe na u jambazi, Rais wenu alishawahi kuwaambia wakurugenzi wa halmashauri wasitangaze washindi kutoka vyama vya upinzani
 
Bawdhi ya Maaskofu hovyo kabisa kama wanataka siasa wajiunge na siasa waache uinjilisti na Utume
Kwel dunia ipo ukingon ,Yesu alisema mtatukanwa na kuawa kwa ajili ya Jina Langu.kwel kama maaskofu ndo wanapokea matus kutoka pale jengo la Lumumba tena bila hat kufcha Mungu atawatetea
 
Hapa kazi tu..... kazi gani? Kwa namna gani kwani kabla ya awamu hii ya 5 tulikua hatufanyi kazi?......kuhusu suala la mauaji usitumie yale yaliyotokea sehemu nyingine kuhalalisha huu udhalimu mnaoufanya....Ova
 
Nitumie fursa hii kukumbusha machache,,
Mosi
Rais wa awamu ya tano alichaguliwa na wananchi katika uchaguzi wa mwaka 2015,uchaguzi ulijumuisha vyama vyote akina CHADEMA wakiwemo.Wananchi kupitia kura zao waliikataa CHADEMA na viongozi wao,njia sahihi na ya kidemokrasia ni kusubiri 2020.

PILI
Hoja ya watu kupotea na kuuwawa
Jamii yoyote popote ina uasi na mauaji.Tupac mmarekani alipigwa risasi,Lucky Dube alipigwa risasi,Tom mbuya wa kenya aliuwawa sababu hatujui hadi leo,Mwanamziki Jimmy Reeves alitunguliwa na ndege na mifano mingine mingi.Sikusikia wananchi wanaandama kuiondoa serikali kisa matukio haya ya kihalifu.Watu wanaweza uwawa kutokana na sababu tofauti tofauti ndani ya jamii,mfano mtu katembea na mke wa mtu,dhuluma,kugombania mashamba n.k utakuwa ni mtu usiekuwa na akili endapo utaihusisha serikali na mauaji yanayotokea katika jamii,kwa kifupi utakuwa una lako jambo unalotaka kulihalalisha hata kwa sababu za kutunga na za uasi dhidi ya serikali ya wananchi

TATU
Watu wanao okotwa
Hivi ukikuta mtu kafa njiani au kafichwa mahali ni serikali ndio inafanya hayo? Do you have brain? Yule mtu alokutwa kafa na kutupwa mto ndabaka juzi juzi ni serikali ilihusika? Yule ndugu alomuua mkewe na kumficha kwenye pango la mti singida ni serikali ilihusika?Mauaji yalikuwepo tangu zamani na hayaja anza leo.Maaskofu mna kila sababu ya kubeba lawama katika hili kwani mmesahau kazi yenu ya kuwafundisha watu kumrudia Mungu,badala yake mmekalia siasa ambayo sio wito wenu,,,

MWISHO
Hakuna haki iliyo minywa,ni ulafi wa madaraka na njaa ya tumbo ndio inasumbua baadhi ya wanasiasa

Jiulize,,
Kuna chama kinazuiwa kushiriki uchaguzi,,hapana

Uchaguzi wa 2015 kuna majimbo yalienda upinzani,,Ndio. Walishindaje kama hakuna haki?

Esther Bulaya alimshinda Wasira mahakamani,,,Ndio ni haki gani zaidi mnayo taka?

Vyama vya upinzani vina uhuru wa kufanya vikao? ,Ndio hata leo CDM wamekutana,,haki gani zaidi??

In short acheni kuivuruga serikali tuloichagua sisi,,subirini 2020,,

LONG LIVE JPM:HAPA KAZI TU
Hapo ulipo, funga hiyo baa, waite marafiki zako, kunyweni balimi (au chochote) tani yenu. Ninakuja kulipia.

Asante sana.

Hawa watu wameelekezwa na wafadhili wao wa nje kuwa waiingize hii nchi kwenye vurugu (ndio sababu ya haya maandamano yanayoratibiwa na Mange).

Katika hii vurugu wanategemea vifo vingi (kumbuka Mbowe alichokisema Feb. 16? - Tunataka tubebe majeneza 200) ili wafadhili wao waweze kuwa justified kufanya walichokifanya Libya.

Kumbuka pia siku hiyo hiyo Halima Mdee alisema wanataka TZ iwe kama Libya.

This is not a coincidence. This is a conspiracy.

WaTZ wenye nia njema na nchi yetu tusipowakemea hawa mafidhuli watatuingiza kwenye ule mkenge wa Libya au Syria.

SHAME, SHAME, WE KNOW THEIR NAMES.
 
kuingia darasani ni njia ya kuondoa ujinga, kwa wengine inaweza kuwa ukazawadiwa ULIPUMBA.
 
Huyu mtoa uzi ametoa waraka au anatoa malakamiko ambayo kiuhalisia hayaeleweki,naona yuko kikada zaidi.Hongera sana ndugu umejitahidi walau kutia dukuduku
 
Jamaa anaweza kuwa na point lakini hapo mwisho tumemuelewa point zake zina maana gani!! Ameshindwa kuitimisha vizuri na kuonyesha mapenzi yake!
 
Nitumie fursa hii kukumbusha machache,,
Mosi
Rais wa awamu ya tano alichaguliwa na wananchi katika uchaguzi wa mwaka 2015,uchaguzi ulijumuisha vyama vyote akina CHADEMA wakiwemo.Wananchi kupitia kura zao waliikataa CHADEMA na viongozi wao,njia sahihi na ya kidemokrasia ni kusubiri 2020.

PILI
Hoja ya watu kupotea na kuuwawa
Jamii yoyote popote ina uasi na mauaji.Tupac mmarekani alipigwa risasi,Lucky Dube alipigwa risasi,Tom mbuya wa kenya aliuwawa sababu hatujui hadi leo,Mwanamziki Jimmy Reeves alitunguliwa na ndege na mifano mingine mingi.Sikusikia wananchi wanaandama kuiondoa serikali kisa matukio haya ya kihalifu.Watu wanaweza uwawa kutokana na sababu tofauti tofauti ndani ya jamii,mfano mtu katembea na mke wa mtu,dhuluma,kugombania mashamba n.k utakuwa ni mtu usiekuwa na akili endapo utaihusisha serikali na mauaji yanayotokea katika jamii,kwa kifupi utakuwa una lako jambo unalotaka kulihalalisha hata kwa sababu za kutunga na za uasi dhidi ya serikali ya wananchi

TATU
Watu wanao okotwa
Hivi ukikuta mtu kafa njiani au kafichwa mahali ni serikali ndio inafanya hayo? Do you have brain? Yule mtu alokutwa kafa na kutupwa mto ndabaka juzi juzi ni serikali ilihusika? Yule ndugu alomuua mkewe na kumficha kwenye pango la mti singida ni serikali ilihusika?Mauaji yalikuwepo tangu zamani na hayaja anza leo.Maaskofu mna kila sababu ya kubeba lawama katika hili kwani mmesahau kazi yenu ya kuwafundisha watu kumrudia Mungu,badala yake mmekalia siasa ambayo sio wito wenu,,,

MWISHO
Hakuna haki iliyo minywa,ni ulafi wa madaraka na njaa ya tumbo ndio inasumbua baadhi ya wanasiasa

Jiulize,,
Kuna chama kinazuiwa kushiriki uchaguzi,,hapana

Uchaguzi wa 2015 kuna majimbo yalienda upinzani,,Ndio. Walishindaje kama hakuna haki?

Esther Bulaya alimshinda Wasira mahakamani,,,Ndio ni haki gani zaidi mnayo taka?

Vyama vya upinzani vina uhuru wa kufanya vikao? ,Ndio hata leo CDM wamekutana,,haki gani zaidi??

In short acheni kuivuruga serikali tuloichagua sisi,,subirini 2020,,

LONG LIVE JPM:HAPA KAZI TU
Mkuu dua yetu siku..zote hua ni mungu ibariki tanzania na watu wake,ibariki afrika...lakini siku hizi tunamuombea mtu mmoja tu....
 
Mkuu, unaishi nchi hii ya tanzania au umeteremka toka Mars kuja kula pasaka?
Vyama vya upinzani haviruhusiwi kukusanyika popote nchi hii kufanya kikao: kiwe cha ndani au hadhara; polisi wanaingilia.Ni juzi tu chadema walibuni kufanya kikao cha ndani kwenye ofisi za ubalozi na polisi ikafyata mkia!Hicho kikao cha ubalozini ndicho unachozungumzia kwenye komenti yako hapo chini?

Vyama vya upinzani vina uhuru wa kufanya vikao? ,Ndio hata leo CDM wamekutana,,haki gani zaidi??
 
Bawdhi ya Maaskofu hovyo kabisa kama wanataka siasa wajiunge na siasa waache uinjilisti na Utume
Hawawezi kuwa wa hovyo kama baba yako waliosimama clouds Tv nakushindwa kukutaja kwamba una it wa Daudi Albert bashite nakushindwa kuueleza umma kwa nini unapumuliwa kisogoni
 
Viongozi wa dini mnakera sana mnapokosoa serikali inayotimiza wajibu wake. Hivi nyie maaskofu mngekuwa ndo rais wa tanzania mngeruhusu kila upuuzi utokee ndani ya utawaka wenu?

Mwacheni magufuli apige kazi.
Ni baadhi ya viongozi wa dini waliokua wananufaika na mfumo flani wa kuijiingizia vipato kwa mgongo wa dini sasa hivi kumebwanwa nanajaribu njia nyingi ili ionekane badhi ya mamabo ya serikali sio sawa kwa chuki binafsi
 
Yaani inasikitisha sana kwa aina ya watu ambao kujibu hoja ni kutanguliza matusi na kudhani wao wana akili kuliko watu wote!natamani ifikie watu wajibu kwa kutumia hoja ili tusiofungamana na upande wowote tujue pumba na mchele ni upi sidhani kama siasa ni uadui wa kiwango hicho au ndiyo ukoloni mamboleo?siasa imekuwa ushabiki kama wa Simba na Yanga!!eti ushinde wewe tu ukishindwa umeonewa!!
 
Heheh naona mumefungua troll factory kama ile ya Urusi.mana mko wengi sana skuizi.naombeni mnipe tenda ya kuwasupply internet, smartphones,pcs na analytics
 
Mkuu serikali ina dhima ya kulinda aman, kwahiyo hata kama haijaua yenyewe basi italaumiwa kwa kushindwa kuwalinda, pia kuuawa kwa 2pac hakuhalalishi mauaji Tz.
Pia utambue kuwa vyama pizani sio uasi, vipo kisheria
mtumwa wa B7 ataelewa kweli, ngoja nisubiri.
 
Nitumie fursa hii kukumbusha machache,,
Mosi
Rais wa awamu ya tano alichaguliwa na wananchi katika uchaguzi wa mwaka 2015,uchaguzi ulijumuisha vyama vyote akina CHADEMA wakiwemo.Wananchi kupitia kura zao waliikataa CHADEMA na viongozi wao,njia sahihi na ya kidemokrasia ni kusubiri 2020.

PILI
Hoja ya watu kupotea na kuuwawa
Jamii yoyote popote ina uasi na mauaji.Tupac mmarekani alipigwa risasi,Lucky Dube alipigwa risasi,Tom mbuya wa kenya aliuwawa sababu hatujui hadi leo,Mwanamziki Jimmy Reeves alitunguliwa na ndege na mifano mingine mingi.Sikusikia wananchi wanaandama kuiondoa serikali kisa matukio haya ya kihalifu.Watu wanaweza uwawa kutokana na sababu tofauti tofauti ndani ya jamii,mfano mtu katembea na mke wa mtu,dhuluma,kugombania mashamba n.k utakuwa ni mtu usiekuwa na akili endapo utaihusisha serikali na mauaji yanayotokea katika jamii,kwa kifupi utakuwa una lako jambo unalotaka kulihalalisha hata kwa sababu za kutunga na za uasi dhidi ya serikali ya wananchi

TATU
Watu wanao okotwa
Hivi ukikuta mtu kafa njiani au kafichwa mahali ni serikali ndio inafanya hayo? Do you have brain? Yule mtu alokutwa kafa na kutupwa mto ndabaka juzi juzi ni serikali ilihusika? Yule ndugu alomuua mkewe na kumficha kwenye pango la mti singida ni serikali ilihusika?Mauaji yalikuwepo tangu zamani na hayaja anza leo.Maaskofu mna kila sababu ya kubeba lawama katika hili kwani mmesahau kazi yenu ya kuwafundisha watu kumrudia Mungu,badala yake mmekalia siasa ambayo sio wito wenu,,,

MWISHO
Hakuna haki iliyo minywa,ni ulafi wa madaraka na njaa ya tumbo ndio inasumbua baadhi ya wanasiasa

Jiulize,,
Kuna chama kinazuiwa kushiriki uchaguzi,,hapana

Uchaguzi wa 2015 kuna majimbo yalienda upinzani,,Ndio. Walishindaje kama hakuna haki?

Esther Bulaya alimshinda Wasira mahakamani,,,Ndio ni haki gani zaidi mnayo taka?

Vyama vya upinzani vina uhuru wa kufanya vikao? ,Ndio hata leo CDM wamekutana,,haki gani zaidi??

In short acheni kuivuruga serikali tuloichagua sisi,,subirini 2020,,

LONG LIVE JPM:HAPA KAZI TU
"jaruri, napendkeza mshahara wa msemaji mkuu wa serikali na mwenezi wa CCM wa mwezi huu kama haujalipwa upewe wewe
 
"jaruri, napendkeza mshahara wa msemaji mkuu wa serikali na mwenezi wa CCM wa mwezi huu kama haujalipwa upewe wewe
Hahahahahaa acha mzaha kamanda,ila ukweli ni kuwa CDM watatupeleka pabaya sana
 
Back
Top Bottom