Recent content by MaT2B

  1. MaT2B

    Galilaya kwa Sasa ndio mji Gani?

    Kinachosababisha majina kubadilika ni Tawala. UTawala unapokuja mpya mara nyingi wanabadili majina na kuleta mapya kulingana na tamaduni zao.
  2. MaT2B

    Galilaya kwa Sasa ndio mji Gani?

    Google on map the sea of galilie, Utaona miji ya zaman kama Tiberias, karpenaumu, nazareth.
  3. MaT2B

    Mrejesho baada ya kuingia kwenye mahusiano na binti mwenye mimba

    Mwanaume unaweka vi emoji vya ajabu ajabu hiko ni tatizo kubwa kuliko mimba ya huyo mwanamke.
  4. MaT2B

    Kuteuliwa kwa Jaji Mkuu Mstaafu Prof. Ibrahim H. Juma kunaacha maswali mengi kwenye mhimili wa Mahakama!

    Mihimili yote mitatu iko chini ya Rais kama Mkuu wa Nchi. Kwa ki-anglais ni Head of State. Watunzi wa Katiba walisema mihimil mitatu Kwangu mimi naona mihimili ni mmoja wenye matawi matatu.
  5. MaT2B

    Utamaduni huu wa kunywa maji ya chupa nyumbani unanitesa

    "Too much love will kill you"
  6. MaT2B

    Nashindwa kuelewa, hapa kuna upendo kweli au napotezewa muda?

    Achana na nae. KWa huo moyo wako huu ndio ushauri mzuri.
  7. MaT2B

    Ushauri wapi patanifaa

    Eti mtaji wa kati. Kwnn usiseme mtaji mdogo. Unataka kuuza
  8. MaT2B

    Tetesi: Samia kupigwa chini na Nchimbi kuchukua nafasi yake kugombea kukinusuru chama

    KAtiba ya wap hiyo. Mkapa,, kikwete, Jpm
  9. MaT2B

    Tetesi: Samia kupigwa chini na Nchimbi kuchukua nafasi yake kugombea kukinusuru chama

    Hata mimi nishawaza, hivyo hizi ni propaganda.
  10. MaT2B

    PreGE2025 Ni lini Halima Mdee atachukua fomu ya kuwania Ubunge kupitia Chama chake cha CCM?

    Huko Bunda mjini mtoto wa Wasira kashachua fomu?
  11. MaT2B

    Same: Watu 37 wafariki dunia kwa ajali, 29 wajeruhiwa. Mabasi yagongana na moto kulipuka

    Bado haijathibitika wamefariki watu 50, wewe unaandika wamefariki watu 50.
  12. MaT2B

    Tanzania haiwezi kuwa kama Ulaya, Marekani, China hata CHADEMA wakichukua nchi

    Ungeandika kidumu chama cha mapinduzi. Ungeeleweka haraka.
  13. MaT2B

    IMF Yaidhinisha mkopo wa Tsh 1.2 Trillion kwa Tanzania

    WAnauza Oil na Gas. MIkopo ya ndani. Kipindi vha Biden US waliwaruhusu(Kwa makubaliano) Iran wachukue kama usd billion 6. Fedha ambazo zilikuwa zimezuiliwa na US.
Back
Top Bottom