Recent content by maswi masero

  1. M

    Kundi Kubwa la wanasiasa kutoka CCM kuhamia CHADEMA ikiwa kama ishara ya kumuenzi Lowassa

    Kwani Monduli ndo Ccm?wao waende sababu.1. Wanahama kwa sababu alibeba richmond na akawapelekea mgao wao! 2.waliohama ndo walewale waliopata ya mabiiloni ya wafanyabiashara kwa hiyo sio ajabu kwa wao kuhama.Lakini angalizo hao ndo wanaenda kuiua Ukawa.
  2. M

    Hii ndio SERA KUBWA ya Magufuli! Kama hujui!

    kama ninyi mnaomponda tulishawaona wengi.Lakini mbona pesa za M4C HATUZISIKII?AU NDO IMETOKA? Bila kuambiw ziko wapi?
  3. M

    Bendera za CCM zimeng'olewa Arusha

    Nkobe Hizo ni sababu mfu na hiyo inamaanisha ubinafsi wao na kwa namna nyingine inaonesha kwamba hayo ni baadhi matumizi ya ile sh.bil.50 za mkopo wa wafadhili.Kwa hiyo sio ajabu kuona hivyo.
  4. M

    Msaidizi wa Naibu Katibu Mkuu CCM bara ajiunga CHADEMA

    Dotto Mnzava Mhhh....wala huyo hatusumbui make ameshagundua kwamba uadilifu wake ni mbaya sasa kwa Magufuri hilo hukumu yake ni kuweka busara mbali na hivyo hata nyie wapokeaji kuweni makini,muwekeeni majasusi make anaweza umiza nyie siku sio nyingi,
  5. M

    Nyaraka muhimu za skendo ya Wizara ya Ujenzi

    Wapi saini ya mhusika kwani nyaraka sahihi zina sahihi ya mhusika.
  6. M

    Utendaji wa Magufuli na mfano wa msichana wa kazi

    Sisi tunachosema,huyo ndo wa kwetu kwa sasa ikulu make tumesha msoma tangu ktk wizara alizopitia na usimamizi wake na maamuzi yake kwani tulisha yaona. Kwa upande wa ukawa hatuoni nini anafaa kuigwa. 1.Lipumba kafanya nini kwao?je,anakubarika kwao, hata kama sio taifa alishawahi kufanya nin...
  7. M

    List of Shame: Mrema na Slaa wazungumzia Vigogo wa Ufisadi Tanzania

    Tunamdai pesa za kanisa alizoondoka nazo enzi za utumishi wake wa upadri.Mbona hatumuoni kwenye list?
  8. M

    UKAWA bila hawa haiendi?

    Kumekua na malumbano mengi ndani ya umoja wa vyama vinavyounda UKAWA katika uteuzi wa mpeperusha bendera wao katika uchaguzi mkuu ujao, mbaya zaidi malumbano yote huwahusisha viongozi wao wakuu pale ambapo viongozi hao kua na tabia yao ya kutaka wao ndo wawe wateule kuwa wagombea urais. Swali...
  9. M

    Kimya hiki kina mshindo wake mkuu

    Kwani ukawa bila lipumba,mbowe na slaa haiwezi kuwepo?
  10. M

    Humphrey Polepole: Sio Dr. Slaa wala Lipumba wanaofaa kuwa wagombea urais wa UKAWA

    ndugu zangu mi na swali, Hivi Ukawa hakuna mtu mwingine anaefaa kugombea tofauti na LIPUMBA,SLAA NA MBOWE?'
  11. M

    Humphrey Polepole: Sio Dr. Slaa wala Lipumba wanaofaa kuwa wagombea urais wa UKAWA

    Sio hoja kwani hii ni social network na ni haki yake kutoa maoni.
  12. M

    Dr. Magufuli amechafuka, hachaguliki

    VUTA-NKUVUTE Sio hoja, na hata haina mvuto, kwani hajatoa altenative B baada ya A kufeli na kusema nani anafaa?
  13. M

    Kutokuwepo kwa CUF kwenye kikao cha UKAWA kunaashiria nini?

    Kwani unategemea slaa katufanyia nini tangu akiwa mbunge jimboni kwake tangu akiwa mbunge? Na yaani wale ndo mitungi ya rombo kabisaaaaaaaa......, sasa kama slaa akiwa na lipumba waziri mkuu si ndo tutakua watanzania wote kama Rombo?
  14. M

    Kumekucha UKAWA: Lipumba kutoa msimamo wa CUF leo saa tano Asubuhi

    jameni ndugu zangu punguzeni matusi na maneno yasiyo ya busara kweye social networks kwani tunaozipiria ni wengi na tuna itikadi tofauti. Mi nasema tuwambe vingozi wa ukawa wasilumbane il watoe mgombea wao bila malumbano na pia watoe mtu atakae kubalika ili apambane na magufuli. Sisi...
  15. M

    Ulinzi wa Dr. John P Magufuli na ziara za nje ya nchi

    Nani kakwambia anaenda kufanya ziara? Yeye kazi ni mpja tu! Kulima barabara tu!mda wa ziara ndo huu unapita sas na kwa taarifa ndo umeisha.
Back
Top Bottom