Dr slaa ndiye habari ya mujini,
Siasa za Tanzania niza ajabu kweli.
Ni nani huyu atailipua hii volcano unayodai iko kila sehemu nchini wakati hata kupata mgombea Urais mmeshindwa kuafikiana achilia mbali kupamabana na mgombea wa CCM.
Kauli zako za jana kuhusu mgombea Urais wa tiketi ya UKAWA zilinikumbusha zile za Mohammed Saeed al-Sahhaf!
Yetu macho na masikio!
Mkuu Ng'wamapalala
Unasema UKAWA wameshindwa kuafikiana!?!? Natumai unatania mpiganaji.
Sijajua kauli zangu za clarifications kuhusu uliokuwa unaenezwa eti Mzee Mtei kakodiwa ndege kuja Dar na blah blah zingine kuhusu Lowassa ulizielewa vipi. Maana inawezekana tatizo linaanzia hapo. Au unatamani ule uongo ungeachwa hivyo hivyo.
Lowassa ndiyo lulu yenu sasa,CCM inawasubiri tu iwatandike.na kweli asiwe lowasa .. bora uwe uzushi.maana .. hakuna namna naweza amini kuna badiliko kwa style hii hata kama tunataka kuidondosha ccm si kwa style ya kubeba.. lowasa and co...huyo jamaa hata akiconfess sijui kama binafsi yangu ntaamini kama ataweza badilisha mtazamo juu yake..
sasa ajenda ya UFISADI huku cdm itakuwaje..?
au ndio tutaaminishana.. ujanja
na yale makapi akihama nayo je..?(vijisenti, etc.)
huu utakuwa ulaghai wa karne ...
na rasmi ntabadili muelekeo..
Wewe ya CHADEMA hayakuhusu kwa kuwa Mlishapuuzwa kitambo na mungu wenu pia
Kwani ukawa bila lipumba,mbowe na slaa haiwezi kuwepo?
Makene unajifnya kujua ambayo huna uwezo nayo ndani ya Chama, hivi wewe ni nani ndani ya CHADEMA mpaka ujue kukodiwa/kutokodiwa ndege? Wewe ni kiumbe kidogo sana ndani ya hiyo kambi ya Wachagga, labda angalau hata ungekuwa shemeji yao, huko wewe unatumika tu kama karai la zege.
Makene mwaka huu umeumbuka asubuhi, umekuwa msemaji wa UKAWA umejisahau kuwa wewe ni msemaji wa CHADEMA, hauoni mwenzako Magdalena Sakaya yeye anasemea CUF? nakusubiria kwenye umbuko. Mbona kabla CUF hawajaongea ulikuwa kimya kama maji ya mtungi?
Ushahidi wanao watu wa NEC waliolazimika kufuta website yao ili kuficha mkanganyiko wa matokeo waliyoambiwa kutangaza Vs matokeo halisi vituoni!
Au wamuulize yule mgombea wa CCM aliyekuwa waliyemwita kuwa ni chaguo la Mungu namna alivyoshushwa na Dk. Slaa.
Au wamuulize Kinana ambaye 2010 siku aliposikia kuwa Dk. Slaa ndiye mgombea wa CHADEMA alijikuta akisema kwa sauti bila kujua kuwa anasikika na watu "if it is Dr. Slaa we have to go back to the drawing board". No wonder tangu wakati huo hajawahi kukubali kukutana na Dk. Slaa Kwenye mdahalo au hata panel interview.
Umenikumbsha mbali mkuu majeshi ya NATO yameishaingia Basra lakini Al-Sahafu anakuambia wameyakimbiza mbali na yakijaribu kuingia lango kuu basi makaburi yao yatakuwa Basra.Siasa za Tanzania niza ajabu kweli.
Ni nani huyu atailipua hii volcano unayodai iko kila sehemu nchini wakati hata kupata mgombea Urais mmeshindwa kuafikiana achilia mbali kupamabana na mgombea wa CCM.
Kauli zako za jana kuhusu mgombea Urais wa tiketi ya UKAWA zilinikumbusha zile za Mohammed Saeed al-Sahhaf!
Yetu macho na masikio!
Mangi umeshawahi kukanyaga kinyesi baada ya kuruka mkojo?Huja msikia kupitia ITV mzee kingunge anasema lowasa hakuhusika na ufisadi bali alijuzuru kuokoa taifa?sasa tutamchukua kingunge na lowasa
The Boss
Sikuwahi kufikiria unaweza kuwa Kwenye level ya hicho ulichoandika. Nilipoona ile comment yako iliyotangulia hii nikadhani umetoa maoni genuinely...
Kuhusu comment yako ya awali. Nimeshatoa ufafanuzi kuhusu Edward Lowassa na hicho mnachokitangaza mkiita ni move. Sina haja tena ya kuendelea kulijadili hapa maana itageuka kuwa publicity...jambo ambalo team yake wanaweza kukodi kampuni ya kufanya au kutumia watu wanaoweza kuwa wanamwandika hata mahali pasipo mwafaka.
Cheers mkuu.
Yeah. Si kiwango chako. Uzuri wa ugonjwa wako wa uvivu wa kusoma hauambukizi watu wengine.
Huwajui vizuri Mbowe na Mtei wakiona pesa
The Boss
Sikuwahi kufikiria unaweza kuwa Kwenye level ya hicho ulichoandika. Nilipoona ile comment yako iliyotangulia hii nikadhani umetoa maoni genuinely...
Kuhusu comment yako ya awali. Nimeshatoa ufafanuzi kuhusu Edward Lowassa na hicho mnachokitangaza mkiita ni move. Sina haja tena ya kuendelea kulijadili hapa maana itageuka kuwa publicity...jambo ambalo team yake wanaweza kukodi kampuni ya kufanya au kutumia watu wanaoweza kuwa wanamwandika hata mahali pasipo mwafaka.
Cheers mkuu.