Lovebird
JF-Expert Member
- Sep 27, 2012
- 5,784
- 7,745
Jina lenyewe lasadifu, kufuli linalinda banks, nyumbani, nyeti za me na ke, ni kitu muhimu
Najaribu kutathimini ulinzi huu utagharimu kiasi gani hadi hapo uchaguzi utakapofanyika.
Nimuonavyo Daktari anayewajibika na kwenda sambamba na sera za maendeleo ya nchi, endapo akiwa Rais je ziara zake zitabadili mambo gani Tanzania?
Mwenye tathimini atujuze.
Najaribu kutathimini ulinzi huu utagharimu kiasi gani hadi hapo uchaguzi utakapofanyika.
Nimuonavyo Daktari anayewajibika na kwenda sambamba na sera za maendeleo ya nchi, endapo akiwa Rais je ziara zake zitabadili mambo gani Tanzania?
Mwenye tathimini atujuze.