Wadau,
Hapa Masasi ni raha tu , Cecil Mwambe wa Chadema jimbo ;la Ndanda (Masasi vijijini) amemshinda Mbunge CCM wa miaka kumi na tano mfululizo ,yaani Hapa ni raha
Peoplessssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssss
Ficha upumbavu wako, mbona mimi mngoni najiandaa na mkutano huo?propaganda za kitoto kama hizo mmeakia nazo magamba wachache tu kama wewe, faiz bwea,lizaboni na chooni(msalani)
We Rama inaonekana unachuki binafsi tu na hao walimu, kama unafuatilia trend ya performance tangu 2009 hadi sasa utaona ya kwamba kipindi walimu wa leseni wapo mashuleni ufaulu ulikuwa mkubwa ila sasa diploma na graduate kibao ufaulu unashuka.Jipange kivingine acha chuki binafsi
Chuki zako za kukosa vyeo usizilete hapa jamvini, walimu wa leseni wamezitoa mbali sana hizo shule za kata zaidi ya miaka 5 ya wewe kuwepo kwako kazini, acha majungu what is diploma or degree after all in Tz?Jiongeze, la sivyo utadharaulika jamvini kwa kudharua wenzako
We Rama inaonekana unachuki binafsi tu na hao walimu, kama unafuatilia trend ya performance tangu 2009 hadi sasa utaona ya kwamba kipindi walimu wa leseni wapo mashuleni ufaulu ulikuwa mkubwa ila sasa diploma na graduate kibao ufaulu unashuka.Jipange kivingine acha chuki binafsi
Wadau, hivi kama wanamdahalo wangeamua kuwapuuza tu haya yote yangetokea wale waliamua tu kuwaprovoke ili mdahalo usitishwe next time wapuuzwe tu kama Jaji Warioba alivyokuwa anaomba waachwe tu jazba zisingetumika na wangejisikia vibaya na wangeshusha wenyewe tu mabango yao
Kosa kubwa walilolifanya magamba ni pale Hawa Ghasia alipojipendekeza awe mgeni rasmi siku na mechi ya Mgambo shooting akijifanya anakabidhi gari Wamakonde/WanaMtwara wengi walitojka uwanjani hata mpira haujaanza na Nanda FC ilichezea 3 -1.Hawa Ghasia hatakiwi hata kidogo Mtwara na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.