Ni ndoto za kibavicha hizo zinazoambatana na moshi mkali wa bangi na gongo la mama mamka.
Mnajaribu kujitekenya halafu mnajishangaa mnavyocheka!!!!!
karibuni TUSKER bariiiiiiiiidiiiiiii nipo hapa bar ya mwana UKAWA anaitwa URIO na wala sioni husuda kumuunga mkono kwenye biashara yake.
Wapimbav...... hawatapewa nafasi katika siasa za taifa hili takatifu. Kama jinsi tuwafanyiavyo mbwa majumbani kwetu, nanyi mtatupiwa majimbo machache na mitaa michache kwenye chaguzi ili mtingishe mikia kwa furaha. Wakati huo sisi TUNAPETAAAAA
Ndoto??????? hebu eleza hawa hapa wanafanya nini kama sio kujikomba wakidhalilika watu wazima hovyo kabisa