Bongo Muvi
Senior Member
- Apr 2, 2015
- 132
- 17
Ntakuwepo uwanjani inshallahHongereni cdm. Karibuni kusini...tunawategemea sana.
Ntakuwepo uwanjani inshallahHongereni cdm. Karibuni kusini...tunawategemea sana.
Ntakuwepo uwanjani inshallah
Hakuna aliyejua kana Dialo, Masha wangebwagwa 2010. Murji unayemsema watu tunayajua madhaifu yake mengi sana. Ngoja tuanze kumfungulia bomba uone. Lakini ingekuwa Murji Mtwara Mjini ndio kila kitu CCM wasingepata mitaa 53 pekee kati ya 111 pamoja na Murji kutumia zaidi ya milioni 59 kwenye uchaguzi ule wa SM.Mtwara Mjini ni Murji hata watoto waliopo matumboni wanajua hilo hakuna ubishi.
Nakushauri sana ukafanye mikutano kule Salasala na Kinzudi maana ahadi Ya Maji na barabara ndio Mfupa uliokushinda Kabisa Mnyika.
Hili jukwaa kwa sasa linaharibiwa na watu wasiofikiri Ukawa wamechukua mitaa na kuongoza mitaa Murji alikuwa wapi hospitali kutolewa bushaMtwara Mjini ni Murji hata watoto waliopo matumboni wanajua hilo hakuna ubishi.
Nakushauri sana ukafanye mikutano kule Salasala na Kinzudi maana ahadi Ya Maji na barabara ndio Mfupa uliokushinda Kabisa Mnyika.
Wanajamvi CHADEMA kinatarajia kufanya mkutano mkubwa wa hadhara katika viwanja vya Mashujaa Mtwara Mjini. Mkutano huo utafanyika tarehe 12 - 04 - 2015 kuanzia saa nane (8:00) kamili mchana. Mkutano huo utahutubiwa na Viongozi wa Kitaifa wakiongozwa na Naibu Katibu Mkuu Tanganyika Mh. John John Mnyika. Wanachama na wapenzi wa maeneo ya Mikoa ya Lindi na Mtwara mnakaribishwa sana.
John John Mnyika atatanguzana na Viongozi gani wengine, Halima Mdee?
Ficha upumbavu wako, mbona mimi mngoni najiandaa na mkutano huo?propaganda za kitoto kama hizo mmeakia nazo magamba wachache tu kama wewe, faiz bwea,lizaboni na chooni(msalani)Hivi Mtwara kuna wachaga kweli wakujaza mkutano wa Chadema.
Nauliza tu.
Hivi Mtwara kuna wachaga kweli wakujaza mkutano wa Chadema.
Nauliza tu.
Soma post inasema nini.........Hapo atatanguzana sijui ni sikukuu au ....
Murji mchumba tu!Nami nitakuwepo kuweka sawa maana msije mkachakachua Picha na nitaeleza Ukweli kuhusu kinachoendelea, nitatokea maskani kwetu Pale Amisa Maeneo ya Bima. Uledi mgombea wa UKAWA mwaka 2010 aliangukia Pua kwenye uchaguzi mkuu na kushindwa vibaya na mbunge wa sasa Hasnain Murji. Akakata rufaa high court nako pia akagaragazwa vibaya sana na kuamriwa kulipa gharama zote kwa Murji jambo ambalo hadi leo hajalipa na akaenda kwa Murji kumlilia sana ili wamalizane na wakakubaliana mambo flan ambayo kamwe siwezi kuweka wazi! Mnyika njoo mtwara Lakini kwa Murji unajisumbua huo ndio ukweli Hata wewe mwenyewe wajua hilo
Mkuu THE BIG SHOW wapokeeni hawa wachaga huko.Msiwapige mawe.
Subiri tarehe 12.04.2015 uone kama Mtwara kuna Wachaga au WamakondeSasa mnakuja huku kufanya nin??
Kwani huku kuna WACHAGA??
MSIJISUMBUE NENDENI KWINGINE.
WAMAKONDE NA WACHAGA WAPI NA WAPI.