Habari za mda huu wakubwa. Natumaini ni wakheri wa afya,
Mimi kijana mtanzania nina umri wa miaka 25, na elimu yangu ni stashahada kwa fani ya maendeleo jamii.
Leo mchana nilipigiwa simu ya usaili kwa nafasi ya sales agent kwa kampuni ya bima jubilee insurance. Sasa ombi langu naomba kujuwa...
Hizo pesa mbona zinatosha sana kama gari nunua hata used ist,passo au rava4 ambazo azitumii mafuta hapa town kwa millions 7 au nane unapata tu nzuri ya kuzugia na iliyobaki nunua tofali ,mchanga na pesa ya Fundi kama kianzio cha kujenga msingi mpaka kozi ya juu haiwezi kuzidi million sita. KISHA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.