Iyunga sitapasahau, Enzi hizo Azizi alikuwa Vice P, alikuwa na asili kama ya uarabu, nakumbuka siku moja lilitokea mtiti huko Msikitini alipigwa mikanda na Akina Kinyonga kisa kwenda disco loleza, Kinyonga alikuwa mwenyekiti wa Shaban Robert akavuliwa, Nawakumbuka akina Jackson HP wa 2002, mzee...