Nakupongeza sana mwa dishi wa makala hii binafsi ni meelewa sana pia nimekumbuka pindi tunapokua kwenye jamati ya fefha H/M kuliwai kutokea issue Kama hii tulielezwa na wataalamu hivyo bivyo. Wanasiasa shida yao Point 3 muhimu wamefikia nahali wanaforce king..
HALMASHAURI YA WILAYA YA ROMBO CHINI YA CHADEMA YAPAA KWA MAENDELEO YA KASI SANA...
Wilaya ya Rombo ni miongoni mwa wilaya saba Za mkoa wa Kilimanjaro yaani wilaya ya Rombo, wilaya ya Mwanga, Same,Siha, Hai, Moshi mjini na Moshi vijijini. Upande wa Kaskazini Mashariki imepakana na nchi ya...
Tanzania ndiyo nchi pekee duniani ambayo kilimo hufanyika vijijini lakini maonyesho ya nane nane hufanyika mijini tena mkoani na wanaotawala maonyesho hayo kwenye media ni viongozi wenye nyadhifa kubwa ambao sio wakulima.
Think Big.
Umeongea ukweli mtupu............ wakitaka Upinzani ukae kimyaaaaaaa au usiwepo watekeleze ahadi zao pia wao kama serikali tawala hawajafanya lolote tofauti na kujenga barabara lakini issue zote muhimu ulizo taja hapo juu kwa wananchi bado hazijafanyiwa kazi ndio maana upinzani unawakummbusha...
Sasa umekubali kua CCM ni mizigo iliyo shindikana hata kubebeka?hata maraika hawezi kuwahudumia binadamu kwa majukumu kama haya.....ningependa saaana ukili kua ziongozi CCM ni MIZIGO pia hata Raisi wako na washauri wake wameishiwa maarifa ya kupembua hoja kama ya kwako wanaongeza kutulundikia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.