habari ya hapa
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 12,791
- 8,739
VPN usha pakuaMmh huuu mwaka tutazimiwa internet mbona mnatoa maneno machungu kiasi hiki...kwa nnavomfahamu mtukufu hatofurahi kuambiwa ukweli kama huu
VPN usha pakuaMmh huuu mwaka tutazimiwa internet mbona mnatoa maneno machungu kiasi hiki...kwa nnavomfahamu mtukufu hatofurahi kuambiwa ukweli kama huu
Ye aliposimamishwa na Rais aliikana report yake mwenyewe wakati report inasema hazionekani matumizi yake, ameonyesha uoga mbana wakati anahojiwa na azam tv alisema hazionekani na kuwataka wabunge waibane serikali itoe majibuKwani kuna sehemu alisema zimeibiwa ?
Yeye anataka Maelezo zipo wapi
Akisema zimeibiwa akienda mahakamani uthibitisho atatoa ?
Hahaah hii nilidhani nimeiona peke yangu....mkuu ushawahi muona mtu aliyefumaniwa???Nilikuwa sijajua hiyo trillion 1.5 inayosemwa, sasa Mh. Selasini enielewesha vizuri na nimeelewa! Kweli watoe majibu bwana kama wamekosea magazijuto warudie tena! Mwaka huu jiwe lazima afe kwa pressure, siku 2 tu Zitto kambana mpaka Jana anatoka hadharani akiwa afya mgogoro!!
Siyo muoga,jiulize kwenye hafla ya kuwaapisha majaji yeye alifuata nini?Huyu CAG. naye vip mbona anakuwa muoga muoga
Akijibiwa nishtueHii ndio namna nzuri ya kuihoji Serikali, na nadhani Mh. Mbunge ameielewa vizuri sana taarifa ya CAG.
Nitasubiri sana kwa hamu majibu ya maswali haya
Usajili tacra umeanza rasmi leoMmh huuu mwaka tutazimiwa internet mbona mnatoa maneno machungu kiasi hiki...kwa nnavomfahamu mtukufu hatofurahi kuambiwa ukweli kama huu
Ni kweli mkuu,, hata jiwe halijaelewa kabisa lenyewe linategemea lione hela imeibwa kabisa! Kumbe kuna hela imepotelea juu kwa juu!! Basi si wangedanganya hata kama imebaki balance!!Nimependa comment yako. Isije ikawa hata hao wanaowatisha wenzao hawajaelewa kama wewe ulivyokuwa hujaelewa au hata hawajasoma kabisa hiyo ripoti , learning is a process lakini hii principle inakuwa ngumu kwa wanaokariri.
CAG Ametoa majibu kwa mkato mwenye akili akasome ripoti yakeHuyu CAG. naye vip mbona anakuwa muoga muoga
CDM wamepewa hati ya mashaka, na sababu aluzozitoa CAG ni kuwa wameweka ununuzi wa ardhi na majengo pamoja, jambo ambalo ni kosa kihasibu. Hayo ni makosa ya kihasibu lakini siyo upotevu wa fedha. Wala hajasema kuna hela haionekani. Ameqapa pia ushauri namna ya kufanya ili makosa kama hayo yasirudiwe tena.Ebu funua ukurasa unaohusu mapungufu ya CHADEMA umpe ushauri MBOWE!
wa muoga angebainisha madudu yote hayo mkuu? Tungejua kasoro ya hiyo 1.5tn?Huyu CAG. naye vip mbona anakuwa muoga muoga
Hajaikana ripoti yake amejibu kile kilichopo kwenye ripoti yake acheni kumlisha maneno CAG.Ye aliposimamishwa na Rais aliikana report yake mwenyewe wakati report inasema hazionekani matumizi yake, ameonyesha uoga mbana wakati anahojiwa na azam tv alisema hazionekani na kuwataka wabunge waibane serikali itoe majibu
Mada ni Trilion 1.5 ziko wapi hilo la Mbowe kwa mujibu wa taarifa ni makosa na yeye ni kikaango kimoja tuEbu funua ukurasa unaohusu mapungufu ya CHADEMA umpe ushauri MBOWE!