Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 25,979
- 25,314
Tundu lissu,machari,mnyika,selasini,mkosamali,msigwa wahukumiwa na kamati ya maadili,haki na kinga ya bunge kutohidhuria vikao vilivyobaki
....Kwa wananchi watakuwa MASHUJAA !!!
Tundu lissu,machari,mnyika,selasini,mkosamali,msigwa wahukumiwa na kamati ya maadili,haki na kinga ya bunge kutohidhuria vikao vilivyobaki
Tundu lissu,machari,mnyika,selasini,mkosamali,msigwa wahukumiwa na kamati ya maadili,haki na kinga ya bunge kutohidhuria vikao vilivyobaki
Wahuni wamethibitiwa na mambo yatakwenda safi....
Kweli kabisa maana miswada hiyo sasa haitajadiliwa bali itapitishwa kama ilivyo. Ukawa hawana haja ya kuendelea kuwa bungeni; warudi to July 9 kufunga!Wabunge wa UKAWA tokeni ndanikwa nini muendelee kukaa ndani,waacheni waendelee na bunge la CCM
Wahuni wamethibitiwa na mambo yatakwenda safi....
Wahuni wamethibitiwa na mambo yatakwenda safi....
Pamoja SanaAre you a Tanzanian or banyamulenge nasapot ccm ila si kwa uharo huu wa kuuza gesi yetu kwa wamarekanI. .. wachna na mafisadi wachache wanaoona mda wao wa madaraka ndio unaisha nasema no..no..no..no..ukawa kwa ili nawaunga mkono kwa asilimia 20% ...Tanzania kwanza mengne baadaye wanataka sera ya kuuza gesi miaka 999 stupiiid
Wahuni wamethibitiwa na mambo yatakwenda safi....
Wahuni wamethibitiwa na mambo yatakwenda safi....