Mimi huwa najiuliza ni kwanini viongozi wakubwa wa serikali wanapofanya ziara mikoani watu wa wanaombwa kuhudhuria mikutano ya adhara?
Na ni kweli wao hawajui watu waliohudhuria wameelewa badala ya wao kwenda kwa hiari yao.
Kwanini watu wasihamasishwe waende wenyewe.
Watu wale wale wanaombwa...
We unaijua Tarime au ukifika stand unaona Umeimaliza barabaza mitaani zote ni za kiwango cha changarawe( vumbi)
Sent from my DRA-LX2 using JamiiForums mobile app
TARURA wamejitahidi kukarabati barabara kwa kiwango cha changarawe ila kero ni watu kuziharibu kwa kuweka matuta bila mpangilio maalum. Kila mtu anajiwekea kwake. Matuta haya yanatuharibia magari na pikipiki. TATURA msipodhibiti hakuna maana ya kilima barabara.
Sent using Jamii Forums mobile app
TARURA wamefanya kazi nzuri kukarabati barabara za kiwango cha changarawe lakini wameshindwa kudhibiti watu wanaojiwekea matuta katika maeneo yao. Kila mtu anauwezo wa kiweka tuta sehemu yake kwa kisingizio cha vumbi au kusema wanadhibiti speed za magari na pikipiki. Huu ni uharibifu wa wazi wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.