Recent content by Massanda OMtima Massanda

  1. M

    Madai ya Zanzibar mgawo wa Mapato ya Muungano miaka 7 ni TZS 4.6 Trilioni

    Kukubali ghilba zenu Watanganyika? Pamoja na kuwa na itikadi tofauti, ninyi (watanganyika - kama wapo) mko wamoja?
  2. M

    Madai ya Zanzibar mgawo wa Mapato ya Muungano miaka 7 ni TZS 4.6 Trilioni

    Kama vyama hivyo ni shida, mbona Bara mumo?
  3. M

    Madai ya Zanzibar mgawo wa Mapato ya Muungano miaka 7 ni TZS 4.6 Trilioni

    Maoni yako yanaakisi ukweli kwamba Tanzania ni nchi moja. Na kwamba pale ambapo eneo moja la Muungano linapokosa msemaji / mtetezi, basi msemaji / mtetezi anaweza akatoka upande wa pili, ili mradi utetezi huo uwe unalenga kuimarisha muungano wetu na sio kuufarakanisha!
  4. M

    Madai ya Zanzibar mgawo wa Mapato ya Muungano miaka 7 ni TZS 4.6 Trilioni

    Sidhani kama Zanzibar inazuiwa kukaribisha wawekezaji! Wala Wizara ya Utalii na Maliasili si ya Muungano na kwa namna hiyo, mapato yatokanayo na utalii Zanzibar si mapato ya Muungano! Tafuteni sababu nyingine! Siyo hii!
  5. M

    TANZANIA’s President John Magufuli, once hailed by western media as a “bulldozer of graft” has officially lost the battle against corruption!

    There are times when you need quick fix to matters that need to be in place urgently and which, if normal procedures will be applied, delays may cause harm to the nation. And these should not be taken as corruption, squander, embezzlement or the alike!
  6. M

    Kwa ulemavu huu aliosababishiwa Tundu Lissu, ninaichukia sana Serikali ya awamu ya tano!

    Ni vyema ukaendelea kutafunwa na chuki hiyo kwani inaweza siku moja ikasaidia kukusukuma kutoa ushahidi juu ya aliyehusika dhahiri, kumdhuru Lisu!
  7. M

    Tanzania Was East Africa’s Strongest Democracy. Then Came ‘The Bulldozer.’

    Very funny! Repressing variant views and yet here you do! Needing vibrant economy with capital from dirty money! One question: how vagrant and integrity have we worked towards furnishing our country's economy that gives us moral authority to point an accusing finger to our government for...
  8. M

    Tanzania Was East Africa’s Strongest Democracy. Then Came ‘The Bulldozer.’

    If your assessment for true democracy is based on what you have analyzed, let it be bygone! Democracy is not like a dress that fits or unfits. The African democracy has its own myths and ethics. It is a mistake to draw the line of conclusion from the comparison to the western democracy! To many...
  9. M

    Tundu Lissu: Naomba nitofautiane hadharani na Mwigulu Nchemba kuhusu suala la wakurugenzi kusimamia uchaguzi

    Sikuona alichoandika Mwigulu. Lakini niseme tu kwamba, mtumishi anaweza asiwe mwanachama wa chama cha siasa lakini akawa ana mahaba na mmoja ya vyama vya siasa au akawa ni mwanachama wa chama cha siasa lakini ikawa ni kinafiki! Kwa mantiki hiyo suala la nani awe msimamizi wa uchaguzi kwa njia ya...
  10. M

    Katika Matajiri wetu 10 wa juu Tanzania, hakuna aliyesoma Chuo Kikuu ndani ya nchi! Uchumi wetu unategemea elimu za nje, kwanini?

    Sina uhakika na hoja za andiko hili lakini naamini kwamba: 1. Kusomea nje ya nchi kunaongeza nafasi ya kutafakari fursa / mambo; 2. Kusomea nje kunakukutanisha na watu wengine wenye mafanikio na hivyo kukuongezea hamasa/ matamanio; 3. Kusomea nje kunakuongezea kujiamini, nk. Tembea uone mengi...
  11. M

    Mahakama Kuu yabatilisha Vifungu vya Sheria vinavyowapa mamlaka Wakurugenzi kusimamia Uchaguzi

    Kumbuka kwamba mahakama ilikuwa inatizamwa na wapinzani kama chombo cha CCM. Hukumu hii inawaonesha jinsi ambavyo walikuwa hawako sahihi!
  12. M

    Mahakama Kuu yabatilisha Vifungu vya Sheria vinavyowapa mamlaka Wakurugenzi kusimamia Uchaguzi

    Wanaweza wasiwe wanachama wa chama chochote cha siasa lakini wakawa na mahaba na chama fulani cha siasa! Hoja iwe: ni waadilifu kiasi gani?
  13. M

    Who stands with Job Ndugai?

    Prof Assad, alipaswa aachie ngazi kitambo baada ya kubaini kwamba bunge ni dhaifu. Au la, raisi alipaswa kufuta bunge kama kweli ni dhaifu! Kwa hakika sioni ni vipi Prof afanye kazi na bunge dhaifu ambalo haliwezi kufanyia kazi taarifa zake kwa tija na makusudio lengwa na kwa hali hiyo taarifa...
  14. M

    Waliombeza RC Makonda leo mmeumbuka

    Kumbuka uwanjani huwa kuna wachezaji 12!
Back
Top Bottom