Katika Matajiri wetu 10 wa juu Tanzania, hakuna aliyesoma Chuo Kikuu ndani ya nchi! Uchumi wetu unategemea elimu za nje, kwanini?

Nacte ndo wame yumba elimu ya zamani ilikua ni nzuri zaidi na zaidi zidi ya hii ya sasa! huo ni ukweli usio pingika darasa lanne wa zamani ange soma hadi chuo sijui ingekuaje.
Ndio iko hivyo yani, kwa elimu tu hatutakaa tufikie kiwango cha waasisi ambao ndio hao mabeberu. Kwetu elimu is more of a formality other than kuongeza maarifa. Mitaala haibadiliki iko vile vile tu sijui serikali inashindwaje ku explore kuwa wenzetu wako wapi kwa sasa nasi tuende nao sawa tumebaki kukumbatia vitu vilivyofundishwa miaka ya 70
 
Ndio iko hivyo yani, kwa elimu tu hatutakaa tufikie kiwango cha waasisi ambao ndio hao mabeberu. Kwetu elimu is more of a formality other than kuongeza maarifa. Mitaala haibadiliki iko vile vile tu sijui serikali inashindwaje ku explore kuwa wenzetu wako wapi kwa sasa nasi tuende nao sawa tumebaki kukumbatia vitu vilivyofundishwa miaka ya 70
Hahahahahaaaa mambo ni yale yale haya badiliki!! hatuendi na wakati kabisa tupo nyuma sana ktk elimu sio utani
 
Hahahahahaaaa mambo ni yale yale haya badiliki!! hatuendi na wakati kabisa tupo nyuma sana ktk elimu sio utani
Inatia hasira sana we ulisoma Archimedes Principle ambayo haijakusaidia kitu na mjukuu wako atakuja kusoma kitu hicho hicho yani. Physics imeenda mbele zaidi kuna mambo ambayo ni currently useful ndio hasa vijana wanatakiwa wasome ili waweze hata kubuni vifaa vitakavyosaidia katika maisha ya kileo.
 
Inatia hasira sana we ulisoma Archimedes Principle ambayo haijakusaidia kitu na mjukuu wako atakuja kusoma kitu hicho hicho yani. Physics imeenda mbele zaidi kuna mambo ambayo ni currently useful ndio hasa vijana wanatakiwa wasome ili waweze hata kubuni vifaa vitakavyosaidia katika maisha ya kileo.
ni kweli kabisa mkuu mambo ya kusoma yapo mengi sana yenye maana na msaada kwa maisha ya sasa,
 
Inatia hasira sana we ulisoma Archimedes Principle ambayo haijakusaidia kitu na mjukuu wako atakuja kusoma kitu hicho hicho yani. Physics imeenda mbele zaidi kuna mambo ambayo ni currently useful ndio hasa vijana wanatakiwa wasome ili waweze hata kubuni vifaa vitakavyosaidia katika maisha ya kileo.

Unasoma hadi Chuo kikuu then unakuja Kuendesha bodaboda si bora uishie form four ukasome ufundi ujiajiri
 
Sina uhakika na hoja za andiko hili lakini naamini kwamba:
1. Kusomea nje ya nchi kunaongeza nafasi ya kutafakari fursa / mambo;
2. Kusomea nje kunakukutanisha na watu wengine wenye mafanikio na hivyo kukuongezea hamasa/ matamanio;
3. Kusomea nje kunakuongezea kujiamini, nk.
Tembea uone mengi. Kuona ni kujifunza.Ukitaka kupata mafanikio, toka. Hata kitabu kitakatifu cha Koran kimetuamrisha kutoka kwenda mbali kutafuta mafanikio kama kule tulikozaliwa hatupati hayo mafanikio!
 
Sina uhakika na hoja za andiko hili lakini naamini kwamba:
1. Kusomea nje ya nchi kunaongeza nafasi ya kutafakari fursa / mambo;
2. Kusomea nje kunakukutanisha na watu wengine wenye mafanikio na hivyo kukuongezea hamasa/ matamanio;
3. Kusomea nje kunakuongezea kujiamini, nk.
Tembea uone mengi. Kuona ni kujifunza.Ukitaka kupata mafanikio, toka. Hata kitabu kitakatifu cha Koran kimetuamrisha kutoka kwenda mbali kutafuta mafanikio kama kule tulikozaliwa hatupati hayo mafanikio!

True elimu yetu ilitufunza ujamaa ( kuwa masikini) uzalendo ni kuwachukia matajiri.
 
Ngoja nitaje matajiri wawili wengine mtajazia
1. King Msukuma
2. Kishimba
Hawa walitajwa na mkuu wetu kwenye mkutano wa wafanyabiashara wa madini na akasisitiza kuwa education level is inversely promotional to utajiri.

Kishimba hajasoma kabisa ndio maana inaona biashara zake nyingi zinafeli na hana utajiri wa hivyo
 
Ukienda TRA unaulizwa utakuwa unauza kiasi gani kwa siku wakati hujaanza na ili uanze lazima uende kwao ndo upate leseni. Akija"mwekezaji" na briefcase wanampa miaka mitano aseleleke bure bila kulipa Kodi. Kuibua matajiri ni ngumu kwa sasa.
Hii ni changamoto
 
Endeleeni kushangilia tu elimu bure... Na sasa awamu hii inaua shule binafsi, walimu wa kigeni wote wanakataliwa vibali vya kufanya kazi nchini.. Nafikiria kuwapeleka watoto wangu shule za Uganda au Kenya soon!
 
Wewe kenge wa Lumumba umewahi kumsikia Prof. wa Havard analamba viatu vya wanasiasa???!!!
Unafananisha product ya maprof. wa Havard na Product ya Prof. Kabudi au Kitila Mkumbo?!
Endelea kulamba viatu vya wanasiasa upate ada ya wanao! P.umbafu kabisa!
Duuu mbona maneno makalii aseee
 
Ndio iko hivyo yani, kwa elimu tu hatutakaa tufikie kiwango cha waasisi ambao ndio hao mabeberu. Kwetu elimu is more of a formality other than kuongeza maarifa. Mitaala haibadiliki iko vile vile tu sijui serikali inashindwaje ku explore kuwa wenzetu wako wapi kwa sasa nasi tuende nao sawa tumebaki kukumbatia vitu vilivyofundishwa miaka ya 70
We jamaa uko fair tyuuuu!! kila wkt kwanini! huna tabia ya ku-provoke kimaongezi!
 
Asilimia kubwa ya wajasiliamali waliofanikiwa, walijaaliwa utajiri wa akili ya kuzaliwa ambayo ndio msingi mkuu wa mafanikio ya mtu yeyote.Na si hiyo yakufundishwa darasani ambayo hujui mwandishi alikuwa na dhamira ya kujenga mentality ya watu wa aina gani ili awatawale kwa urahisi.
 
Back
Top Bottom