Who stands with Job Ndugai?

Who stands with Job Ndugai?

CAG wetu ana matatizo. Haya mambo anayofanya kujiona hakuna wa kumgusa sio sawa. Ndo Haya haya watu wanayakataa kwa jiwe.

Huwezi kuwatukana wenzako kisa et katiba inakulinda. Na Rais atafanyaje sasa.

Haijawahi kutokea kwa mfanyakazi yeyote wa nchi hii au nchi nyingine yoyote Dunian kuanza kuwakosoa wenzake akiwa nje ya nchi. Hasahasa wenzake ambao hana mamlaka ya kuwakosoa au kuwarekebisha. Hii ndo inaitwa tabia mbaya na chafu.

Pamoja na kuwa ni CAG bora na mzuri katika kazi lakin tabia yake ni chafu na mbovu. Kuingilia mihimili mingine ya nchi kwa kuonyesha kuwa haifanyi kazi sawa sawa sio jukumu lake na tafsiri yake ni tabia chafu ya kujiona yeye yuko juu ya sheria .

Tunampenda sana lakin abadilike. Haina maana kuwa baada ya yeye nchi haiwezi kupata CAG bora kabisa.

Zaid ya apo ajue cheo ni dhaman, kuna mwanzo wa kukipata na mwisho wa kukitumia kwa context zote.

Aelewe pia kuwa kila business apa dunian huwa na maana kwa kuwastahi na kuwaheshim wateja wake au wadau wake. Sina uhakika kama yeye anawajua wateja wake au wadau wake.
Kwa haraka haraka nani anasimama na Job ndugai humu dhidi ya Prof, Mussa Assad?

Kama hakuna hivi Ndugai hajioni kama yuko mwenyewe dhidi ya Assad na wananchi takribani milioni 40 ukitoa wa pale magogoni(kwa mujibu wa maneno yake Ndugai ni kwamba Raisi anapatiwa wakati mgumu na assad ina maana mkuu mchukia mafisadi anapatiwa wakati mgumu na mtu anaemtafutia mafisadi ),

Ndugai anatakiwa ajue kwamba Tunachukia Ufisadi,na kama kweli tunauchukia hatuwezi kupigana vita na yule anaetutafutia mafisadi,

Ndugai unatakiwa ushukuru kwa Report ya CAG iliyopo hapo mezani kwako na kuhoji pamoja na wabunge unawaongoza dhidi ya matumizi mabaya ya fedha za wananchi waliokuchagua,

Tumia Bunge lako unaloliongoza kuhoji sasa matumizi ya zile Bilioni 16 zilizotumika kununulia sare za jeshi la polisi zimeenda wapi mbona sare hazionekani,

Tumia bunge unaloliongoza kuhoji zile bilioni 1:3 zilizotumika kwenye vikao 26 vya bodi pale ngoro ngoro kwa mwaka, kulikuwa na ulazima gani wa kufanya vikao vyote hivyo na kutumia pesa nyingi za walipa kodi ikiwa wewe jimboni kwako kuna wanafunzi wanakaa chini hawana madawati wala madarasa ya kutosha, kuna wananchi wako wanapata tabu hawana miundombinu ya maji wala access ya Umeme,

Tumia bunge unaloliongoza kuhoji zile bilioni zilizotumika kununulia mashine feki elfu 5,kati ya mashine elfu 8 zilizoitajika pale ofisini kwa Jaji Lubuva,

Tumia bunge unaloliongoza kuhoji zile bilioni 3 zilizopigwa na Pole pole pale Kwenye Chama chako kwa nini hazikupelekwa kwenye mifuko ya hifadhi za jamii zimeenda wapi hizo ni kodi za wananchi waliokuchagua,

Tumia bunge lako kuhoji kwa nini mbowe na chama chake watumie fedha ya ruzuku iliyotokana na kodi za wananchi kununulia gari la mamilioni kwa kutumia jina la mtu badala ya chama,

Tumia bunge lako kuhoji kwa nini uendeshwaji wa shirika letu la ndege wanalosema linatuletea faida lukuki ghafra tu limehamishwa na kwenda kufanya kazi chini ya ofisi ya Raisi ikulu(Ambayo haina ukaguzi) kulikuwa na ulazima gani au kuna kitu gani kinafichwa kwa walipa kodi wako ?

Tumia bunge lako kuhoji kwa nini bado kuna halmashauri zinapewa hati chafu tena zingine ni zaidi ya mara moja na hakuna kiongozi yeyote wa serikari anaewajibishwa ili kukomesha tabia hii,

Kuna Vingi vya kuhoji na wewe kama kiongozi wa bunge unatakiwa kusimamia bunge lako kuhoji chochote kinacholeta sitofahamu kwa wananchi,

Ndugai unatakiwa kutambua kwamba hapo ulipo unasimama dhidi ya wananchi na Serikari ni waajiri wako, chochote wanachofanya lazima kiwe na faida kwa wananchi Waliokuchagua kusimama badala yao na ndio maana ata bajeti na matumizi ni lazima ifike kwako wewe na bunge lako ndio wenye wajibu wa kujadili na kupitisha ni wapi pesa itumike kwa namna gani na kwa sheria/kanuni ipi?

serikari wao ni watekelezaji tu wa maamuzi yako wewe kama kiongozi wa bunge na wabunge wako kwa ujumla.


TAFAKARI.





Cc Zero IQ

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo spika nae anataka aogopwe kama mkuu wake hivyo hata kile ambacho anajua hakiwezi hata kisheria anaforce
 
CAG wetu ana matatizo. Haya mambo anayofanya kujiona hakuna wa kumgusa sio sawa. Ndo Haya haya watu wanayakataa kwa jiwe.

Huwezi kuwatukana wenzako kisa et katiba inakulinda. Na Rais atafanyaje sasa.

Haijawahi kutokea kwa mfanyakazi yeyote wa nchi hii au nchi nyingine yoyote Dunian kuanza kuwakosoa wenzake akiwa nje ya nchi. Hasahasa wenzake ambao hana mamlaka ya kuwakosoa au kuwarekebisha. Hii ndo inaitwa tabia mbaya na chafu.

Pamoja na kuwa ni CAG bora na mzuri katika kazi lakin tabia yake ni chafu na mbovu. Kuingilia mihimili mingine ya nchi kwa kuonyesha kuwa haifanyi kazi sawa sawa sio jukumu lake na tafsiri yake ni tabia chafu ya kujiona yeye yuko juu ya sheria .

Tunampenda sana lakin abadilike. Haina maana kuwa baada ya yeye nchi haiwezi kupata CAG bora kabisa.

Zaid ya apo ajue cheo ni dhaman, kuna mwanzo wa kukipata na mwisho wa kukitumia kwa context zote.

Aelewe pia kuwa kila business apa dunian huwa na maana kwa kuwastahi na kuwaheshim wateja wake au wadau wake. Sina uhakika kama yeye anawajua wateja wake au wadau wake.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ametukanwa nan, mbona tz inatukanwa kila uchao lkn hatujaona povu kama hili, unataka kusema anayeongoza tz haipendi au haoendi wananchi wake, ugonvi wa taasis usiwe wa mtu binafsi
 
Sasa kama inajulikana kabisa Ndugai amesimama upande wake na wananchi wote wapo upande wa Assad unafikiri Ndugai anaaminika tena kwenye jamii? Na kama jamii haimuamini anawezaje kuitumikia jamii kwenye cheo kikubwa kabisa kinachoweza kumfanya hata awe Rais mihimili mingine ikiwa haipo.. CCM mtuonyeshe sasa kama mnawajali wananchi kwa kutoa kauli moja inayompinga spika na kumtaka ajiuzuru kwa manufaa ya umma ambao umepoteza imani naye..
 
Dah mkuu ni hatari aisee anakotupeleka huyu atasababisha wagogo wawe wanajificha na hata wakiwa wanaulizwa kabila lao waishie kujitaja kuwa wao ni Wasukuma.

"Proudly, brought to u by Bachelor Sugu"
Akili ya ndungai ni ndogo kama Akili ya panya
 
CAG wetu ana matatizo. Haya mambo anayofanya kujiona hakuna wa kumgusa sio sawa. Ndo Haya haya watu wanayakataa kwa jiwe.

Huwezi kuwatukana wenzako kisa et katiba inakulinda. Na Rais atafanyaje sasa.

Haijawahi kutokea kwa mfanyakazi yeyote wa nchi hii au nchi nyingine yoyote Dunian kuanza kuwakosoa wenzake akiwa nje ya nchi. Hasahasa wenzake ambao hana mamlaka ya kuwakosoa au kuwarekebisha. Hii ndo inaitwa tabia mbaya na chafu.

Pamoja na kuwa ni CAG bora na mzuri katika kazi lakin tabia yake ni chafu na mbovu. Kuingilia mihimili mingine ya nchi kwa kuonyesha kuwa haifanyi kazi sawa sawa sio jukumu lake na tafsiri yake ni tabia chafu ya kujiona yeye yuko juu ya sheria .

Tunampenda sana lakin abadilike. Haina maana kuwa baada ya yeye nchi haiwezi kupata CAG bora kabisa.

Zaid ya apo ajue cheo ni dhaman, kuna mwanzo wa kukipata na mwisho wa kukitumia kwa context zote.

Aelewe pia kuwa kila business apa dunian huwa na maana kwa kuwastahi na kuwaheshim wateja wake au wadau wake. Sina uhakika kama yeye anawajua wateja wake au wadau wake.

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu nani katukanwa kwani na CAG, ninachojua CAG alizungumzia utendaji wa Bunge kwenye majukumu yake kwa maana kama chombo kinachoisimamia Serikali..
 
Kwa haraka haraka nani anasimama na Job ndugai humu dhidi ya Prof, Mussa Assad?
Kama hakuna hivi Ndugai hajioni kama yuko mwenyewe dhidi ya Assad na wananchi takribani milioni 40 ukitoa wa pale magogoni(kwa mujibu wa maneno yake Ndugai ni kwamba Raisi anapatiwa wakati mgumu na assad ina maana mkuu mchukia mafisadi anapatiwa wakati mgumu na mtu anaemtafutia mafisadi ),
Ndugai anatakiwa ajue kwamba Tunachukia Ufisadi,na kama kweli tunauchukia hatuwezi kupigana vita na yule anaetutafutia mafisadi,
Ndugai unatakiwa ushukuru kwa Report ya CAG iliyopo hapo mezani kwako na kuhoji pamoja na wabunge unawaongoza dhidi ya matumizi mabaya ya fedha za wananchi waliokuchagua,
Tumia Bunge lako unaloliongoza kuhoji sasa matumizi ya zile Bilioni 16 zilizotumika kununulia sare za jeshi la polisi zimeenda wapi mbona sare hazionekani,
Tumia bunge unaloliongoza kuhoji zile bilioni 1:3 zilizotumika kwenye vikao 26 vya bodi pale ngoro ngoro kwa mwaka, kulikuwa na ulazima gani wa kufanya vikao vyote hivyo na kutumia pesa nyingi za walipa kodi ikiwa wewe jimboni kwako kuna wanafunzi wanakaa chini hawana madawati wala madarasa ya kutosha, kuna wananchi wako wanapata tabu hawana miundombinu ya maji wala access ya Umeme,
Tumia bunge unaloliongoza kuhoji zile bilioni zilizotumika kununulia mashine feki elfu 5,kati ya mashine elfu 8 zilizoitajika pale ofisini kwa Jaji Lubuva,
Tumia bunge unaloliongoza kuhoji zile bilioni 3 zilizopigwa na Pole pole pale Kwenye Chama chako kwa nini hazikupelekwa kwenye mifuko ya hifadhi za jamii zimeenda wapi hizo ni kodi za wananchi waliokuchagua,
Tumia bunge lako kuhoji kwa nini mbowe na chama chake watumie fedha ya ruzuku iliyotokana na kodi za wananchi kununulia gari la mamilioni kwa kutumia jina la mtu badala ya chama,
Tumia bunge lako kuhoji kwa nini uendeshwaji wa shirika letu la ndege wanalosema linatuletea faida lukuki ghafra tu limehamishwa na kwenda kufanya kazi chini ya ofisi ya Raisi ikulu(Ambayo haina ukaguzi) kulikuwa na ulazima gani au kuna kitu gani kinafichwa kwa walipa kodi wako ?
Tumia bunge lako kuhoji kwa nini bado kuna halmashauri zinapewa hati chafu tena zingine ni zaidi ya mara moja na hakuna kiongozi yeyote wa serikari anaewajibishwa ili kukomesha tabia hii,
Kuna Vingi vya kuhoji na wewe kama kiongozi wa bunge unatakiwa kusimamia bunge lako kuhoji chochote kinacholeta sitofahamu kwa wananchi,
Ndugai unatakiwa kutambua kwamba hapo ulipo unasimama dhidi ya wananchi na Serikari ni waajiri wako, chochote wanachofanya lazima kiwe na faida kwa wananchi Waliokuchagua kusimama badala yao na ndio maana ata bajeti na matumizi ni lazima ifike kwako wewe na bunge lako ndio wenye wajibu wa kujadili na kupitisha ni wapi pesa itumike kwa namna gani na kwa sheria/kanuni ipi?
serikari wao ni watekelezaji tu wa maamuzi yako wewe kama kiongozi wa bunge na wabunge wako kwa ujumla.
TAFAKARI.
Cc Zero IQ
Prof Assad, alipaswa aachie ngazi kitambo baada ya kubaini kwamba bunge ni dhaifu. Au la, raisi alipaswa kufuta bunge kama kweli ni dhaifu! Kwa hakika sioni ni vipi Prof afanye kazi na bunge dhaifu ambalo haliwezi kufanyia kazi taarifa zake kwa tija na makusudio lengwa na kwa hali hiyo taarifa zake zikiwa hazina maana na hivyo kuwa zimepoteza muda na rasilimali fedha katika kuiandaa!
 
Kwa haraka haraka nani anasimama na Job ndugai humu dhidi ya Prof, Mussa Assad?

Kama hakuna hivi Ndugai hajioni kama yuko mwenyewe dhidi ya Assad na wananchi takribani milioni 40 ukitoa wa pale magogoni(kwa mujibu wa maneno yake Ndugai ni kwamba Raisi anapatiwa wakati mgumu na assad ina maana mkuu mchukia mafisadi anapatiwa wakati mgumu na mtu anaemtafutia mafisadi ),

Ndugai anatakiwa ajue kwamba Tunachukia Ufisadi,na kama kweli tunauchukia hatuwezi kupigana vita na yule anaetutafutia mafisadi,

Ndugai unatakiwa ushukuru kwa Report ya CAG iliyopo hapo mezani kwako na kuhoji pamoja na wabunge unawaongoza dhidi ya matumizi mabaya ya fedha za wananchi waliokuchagua,

Tumia Bunge lako unaloliongoza kuhoji sasa matumizi ya zile Bilioni 16 zilizotumika kununulia sare za jeshi la polisi zimeenda wapi mbona sare hazionekani,

Tumia bunge unaloliongoza kuhoji zile bilioni 1:3 zilizotumika kwenye vikao 26 vya bodi pale ngoro ngoro kwa mwaka, kulikuwa na ulazima gani wa kufanya vikao vyote hivyo na kutumia pesa nyingi za walipa kodi ikiwa wewe jimboni kwako kuna wanafunzi wanakaa chini hawana madawati wala madarasa ya kutosha, kuna wananchi wako wanapata tabu hawana miundombinu ya maji wala access ya Umeme,

Tumia bunge unaloliongoza kuhoji zile bilioni zilizotumika kununulia mashine feki elfu 5,kati ya mashine elfu 8 zilizoitajika pale ofisini kwa Jaji Lubuva,

Tumia bunge unaloliongoza kuhoji zile bilioni 3 zilizopigwa na Pole pole pale Kwenye Chama chako kwa nini hazikupelekwa kwenye mifuko ya hifadhi za jamii zimeenda wapi hizo ni kodi za wananchi waliokuchagua,

Tumia bunge lako kuhoji kwa nini mbowe na chama chake watumie fedha ya ruzuku iliyotokana na kodi za wananchi kununulia gari la mamilioni kwa kutumia jina la mtu badala ya chama,

Tumia bunge lako kuhoji kwa nini uendeshwaji wa shirika letu la ndege wanalosema linatuletea faida lukuki ghafra tu limehamishwa na kwenda kufanya kazi chini ya ofisi ya Raisi ikulu(Ambayo haina ukaguzi) kulikuwa na ulazima gani au kuna kitu gani kinafichwa kwa walipa kodi wako ?

Tumia bunge lako kuhoji kwa nini bado kuna halmashauri zinapewa hati chafu tena zingine ni zaidi ya mara moja na hakuna kiongozi yeyote wa serikari anaewajibishwa ili kukomesha tabia hii,

Kuna Vingi vya kuhoji na wewe kama kiongozi wa bunge unatakiwa kusimamia bunge lako kuhoji chochote kinacholeta sitofahamu kwa wananchi,

Ndugai unatakiwa kutambua kwamba hapo ulipo unasimama dhidi ya wananchi na Serikari ni waajiri wako, chochote wanachofanya lazima kiwe na faida kwa wananchi Waliokuchagua kusimama badala yao na ndio maana ata bajeti na matumizi ni lazima ifike kwako wewe na bunge lako ndio wenye wajibu wa kujadili na kupitisha ni wapi pesa itumike kwa namna gani na kwa sheria/kanuni ipi?

serikari wao ni watekelezaji tu wa maamuzi yako wewe kama kiongozi wa bunge na wabunge wako kwa ujumla.


TAFAKARI.





Cc Zero IQ

Ni wewe au umekopi na kupesti?
 
CAG wetu ana matatizo. Haya mambo anayofanya kujiona hakuna wa kumgusa sio sawa. Ndo Haya haya watu wanayakataa kwa jiwe.

Huwezi kuwatukana wenzako kisa et katiba inakulinda. Na Rais atafanyaje sasa.

Haijawahi kutokea kwa mfanyakazi yeyote wa nchi hii au nchi nyingine yoyote Dunian kuanza kuwakosoa wenzake akiwa nje ya nchi. Hasahasa wenzake ambao hana mamlaka ya kuwakosoa au kuwarekebisha. Hii ndo inaitwa tabia mbaya na chafu.

Pamoja na kuwa ni CAG bora na mzuri katika kazi lakin tabia yake ni chafu na mbovu. Kuingilia mihimili mingine ya nchi kwa kuonyesha kuwa haifanyi kazi sawa sawa sio jukumu lake na tafsiri yake ni tabia chafu ya kujiona yeye yuko juu ya sheria .

Tunampenda sana lakin abadilike. Haina maana kuwa baada ya yeye nchi haiwezi kupata CAG bora kabisa.

Zaid ya apo ajue cheo ni dhaman, kuna mwanzo wa kukipata na mwisho wa kukitumia kwa context zote.

Aelewe pia kuwa kila business apa dunian huwa na maana kwa kuwastahi na kuwaheshim wateja wake au wadau wake. Sina uhakika kama yeye anawajua wateja wake au wadau wake.

Sent using Jamii Forums mobile app
CAG na spka nani anahisi hakuna wa kumgusa?

MiM
 
CAG wetu ana matatizo. Haya mambo anayofanya kujiona hakuna wa kumgusa sio sawa. Ndo Haya haya watu wanayakataa kwa jiwe.

Huwezi kuwatukana wenzako kisa et katiba inakulinda. Na Rais atafanyaje sasa.

Haijawahi kutokea kwa mfanyakazi yeyote wa nchi hii au nchi nyingine yoyote Dunian kuanza kuwakosoa wenzake akiwa nje ya nchi. Hasahasa wenzake ambao hana mamlaka ya kuwakosoa au kuwarekebisha. Hii ndo inaitwa tabia mbaya na chafu.

Pamoja na kuwa ni CAG bora na mzuri katika kazi lakin tabia yake ni chafu na mbovu. Kuingilia mihimili mingine ya nchi kwa kuonyesha kuwa haifanyi kazi sawa sawa sio jukumu lake na tafsiri yake ni tabia chafu ya kujiona yeye yuko juu ya sheria .

Tunampenda sana lakin abadilike. Haina maana kuwa baada ya yeye nchi haiwezi kupata CAG bora kabisa.

Zaid ya apo ajue cheo ni dhaman, kuna mwanzo wa kukipata na mwisho wa kukitumia kwa context zote.

Aelewe pia kuwa kila business apa dunian huwa na maana kwa kuwastahi na kuwaheshim wateja wake au wadau wake. Sina uhakika kama yeye anawajua wateja wake au wadau wake.

Sent using Jamii Forums mobile app
Doh ni shida kweli walahi, hiyo tabia chafu ni ipi tena? Hivi kujibu maswali ulioulizwa ni tabia chafu?
Kweli ukimchukia mtu utamuiga hadi mwendo na ukipenda sana chongo utaita kurembua au macho ya kizungu
Hivi sijui Inakuaje mpaka uongee usichokiamini
 
C

CAG nae atambue.
1. Hayuko juu ya sheria.
2. kuwa CAG sio tiketi ya kuwadharau wengine.
3. Kuwa Prof. Siyo tiketi ya kuwadharau wengine.
4. Amewahi kumuiona CAG wa marekani anakuja kutangazia matokeo Tanzani? Lazima aheshimu taratibu za nchi. Ni hilo tu
Kwa kusema hayo sijasema kuhusu ripoti yke kwani ni safi kabisa lakini si tiketi ya kupractise niliyoyasema hapo juu.
Nani kakwambia kwamba alienda kutangaza matokeo Marekani? Nafikiri uelewa wako wa mambo ni mdogo sana. Sikiliza yale mahojiano kwanza utajua kama kweli alisema bunge ni dhaifu. Unachukua maneno ya Ndugai ndio unaleta hapa jukwaani. Watu kama wewe ni mzigo kwa taifa.
 
Mtu yeyote! si nani wala nani! Wananchi tumemuajieri atuangalizie mahesabu yetu. Na hiyo kazi anaifanya vizuri sana. Mengine anayoyafanya yasiyostahili kama kwenda kuloloma huko nje ya nchi ayaache!
Mwana ija huko nje mnanani yenu? mbona mnalalamika sana na hukonje?mnakuwa kama mazuzu bana nje nje!!
 
C

CAG nae atambue.
1. Hayuko juu ya sheria.
2. kuwa CAG sio tiketi ya kuwadharau wengine.
3. Kuwa Prof. Siyo tiketi ya kuwadharau wengine.
4. Amewahi kumuiona CAG wa marekani anakuja kutangazia matokeo Tanzani? Lazima aheshimu taratibu za nchi. Ni hilo tu
Kwa kusema hayo sijasema kuhusu ripoti yke kwani ni safi kabisa lakini si tiketi ya kupractise niliyoyasema hapo juu.
Bila shaka ww utakua job

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom