Watanzania waliokuwa wakienda nje kusoma hawabaki huko, wanadunduliza wananunua vifiat/renault au akijitahidi Peugeot halafu wanarudi nyumbani kutanua. Wenzao walikuwa wanaamia kabisa
Ungejua USA ilivyo kubwa husingeshangaa, USA ni sawa na nchi 50 zilizoendelea na kila moja ina airports zaidi ya moja, hivyo hata kwa safari za ndani tuu hakuna nchi inaweza kuishinda USA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.