Broo me muislam but siku nimeona hiyo video nilishangaa Sana hayo maudhui. Inamaana anaonesha mtu akiwa church hazingatii Ibada anawaza simu au ni nn! Sometime wanaoruhusu nyumba za Ibada kutumika kwenye Muzik wawe wanafanya ufatiliaji wa maudhui wajiridhishe kama Ina positivity kwenye...
Mwaka jana mwezi Novemba ulienda kiwanda cha mabomba pale Ubungo na kukagua mabomba ya mradi wa maji kutoka Mitema kwenda Mangombya hadi Mkwiti wilaya ya Tandahimba mkoani mtwara. Ukaagiza mkandarasi afuate mabomba hayo Ili wananchi wa Mkwiti wapate maji.
Ajabu ni kwamba baada ya ziara yako...
Tena kaka kama jana viongoz wa kata kuanzia Diwan, mtendaji, bwana SHAMBA, afisa mifugo walikuwa wanapiga watu bakora kabisa kisa michango kama vile Kodi ya kichwa ya mkoloni
Wananchi wa kata ya MNYAMBE tarafa ya CHILANGALA wilaya ya Newala wanalalamikia ukisanyaji michango kwa kutumia nguvu kunakofanywa na watendaji na Diwan ambapo Ili kuchangia ujenz wa Madarasa ya sekondari kwa fedha za imf (UVIKO 19). Kila kaya inalazimishwa kutoa mvhango wa shilingi elfu kumi...
Siku ya tarehe 6 oktoba mwaka huu amekamatwa kijana CHARLES RICHARD KASUKE fundi kinyoz wa saloon ya dofco iliyopo magengeni Ruaha Mbuyuni kwa kosa la kuwanajisi watoto wawili ANETH GEORGE MNYAONGA miaka Saba mwanafunz darasa la pili s/m mbuyuni na DORCUS MNOTA miaka 6 mwanafunz wa darsa la 1...
Nyie CHADEMA ndio mtuambie kwa ushahid aliko Rais wetu, mmeanzisha propaganda kupitia kwa Lissu akawaambia ntv Kenya na BBC kuwa Rais yupo Kenya. Tupeni ushahidI. BBC wameeleza wamepata taarifa kwa mbelgiji lakin wameshindwa kuthibitisha ukweli. Wamejivua kiaina c mmewalipa lazima wale pesa
Rais Magufuli Mimi kama Mtanzania nachukua jukumu hili kukufahamisha kuwa hospitali ya mkoa wa Lindi Sokoine Ina watendaji/ viongoz wabovu kuwahi kutokea katika historia ya sekta ya afya mkoani Lindi.
Kwanza Kuna malalamiko kutoka karibu katika kila kada ya wahudumu wa hospitalini hapo ambapo...
Sawa na vyuo au shule binafsi vilivyoandika ora et labora na kanembo ka cross kwakuwa ni mali yao sio ya Serikali. Au ishu ni kiarabu? Kilatini ruksa et? Mwalimu nyerere wanao huku wanaulizana udini na ukabila hawajui kazi zake kuu ni kutambika tu
Hali ya maambukizi ya covid-19 ikiendelea kuwa tishio nchini bado viongoz was baadhi ya makanisa wilayan Kilolo wanaendelea na utaratibu wa kawaida huku tahadhari pekee inayochukuliwa ni kunawa maji pekee.
Makanisa ya Roma kuanza sa12 asubuhi hadi sa4 wanakuwa wamemaliza ibada 2 Moja ikianzia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.