CHADEMA Makambako waanza ujenzi wa ofisi ya Jimbo

Nadhani wewe huwafahamu watanzania...halafu nadhani huifahamu TZ...huifahamu saikolojia ya waTZ...Bila Shaka wewe hujatembelea maeneo mengi TZ...mwenzio nimebahatika kutembelea karibu wilaya zote za TZ Tena basi mpaka vijijini kabisa ambako baadhi hata lugha ya Kiswahili inawapa tatizo...huyo Magufuli muone hivyo hivyo popularity yake inatisha? Ikungi ?! Nimefika Ikungi Tena basi mpaka vijijini...Lissu angekuwa popular Ikungi Kama Magufuli asingwania urais...
Hujajibu swali yaani kivipi voter turnout iwe 100% kwenye jimbo ambalo mbunge na madiwani wameshapita bila kupingwa?
Then hujajibu kuhusu Variation ya kura laki 1 kati ya JPM na Gwajima!!

Then nisaidie kivp turnout ya Hai iwe zaidi ya Moshi karibu mara 3 lakini matokeo yakatoka ndani ya masaa 6 tu toka uchaguzi uishe?

TZ nmetembea sana mkuu siku ya kampeni za Lissu akiwa Kyerwa mimi nilikua maeneo ya Kaliua huko kwenye kijiwe flani tunaangalia habari ITV. Aisee ilipofika kampeni za Lissu kila mtu alianza kushangilia na wakamsifu sana kwa ki mount challenge kwa JPM.

Sasa kwa sample tu ya kaliua tena hyo bar imejaza walugha lugha wa kutoka Uvinza huko na Mpanda just know Lissu alikua popular mnoo wakati wa kampeni. Same to Dr Slaa alivyopaa popularity wakati wa kampeni dhidi ya most popular President ever JK.

Kama uchaguzi ungekua huru na haki... Whether JPM au Lissu angeshinda isingekua zaidi ya 60%..... Ila sio 80%+ ni upuuzi kuamini JPM angeshinda mbali hivyo.

Jifunzeni kwa Trump na Biden licha ya watu kudai Trump amechokwa ila unaweza ona ameshindwa kwa gap ndogo sana same to Munangagwa ''alipewa'' Urais ila kwa margin 1%.
 
Kwa nini Misungwi wasijitokeze watu laki moja? Hujui watu wa mjini wengi huwa hawaendi kupiga kura? Kwani hao laki moja unaosema hawamo kwenye daftari la kudumu la wapiga kura?

Ninacho maanisha ni kuwa always kwenye uchaguzi wowote ule mgombea urais anayepata popular votes nyingi ni dhahiri kuwa atapata wawakilishi wengi kama wabunge na madiwani.
Hapana sio kweli wabunge/udiwani ni individuals kuliko chama mkuu ndio maana kuna wagombea wakihama chama wanashinda kiulaini. Ila Urais mostly mtu anaangalia chama na siasa za kitaifa kuliko mgombea specifically.

Issue sio kujitokeza yaani wagombea wamepita bila kupingwa tena kwa dispute kibao alafu turnout inafika 100%? Alafu wote JPM!! Hahahahah

Kuhusu wawakilishi si kweli, Dk Slaa na Lowassa kwa asilimia walizopata za kura hazikulingana na % za ubunge (Assuming NEC ni sahihi), kura million 6 zikupe wabunge 35?? Are u serious? Unless ukiri kuna wizi mlifanya.
 
Hapana sio kweli wabunge/udiwani ni individuals kuliko chama mkuu ndio maana kuna wagombea wakihama chama wanashinda kiulaini. Ila Urais mostly mtu anaangalia chama na siasa za kitaifa kuliko mgombea specifically.

Issue sio kujitokeza yaani wagombea wamepita bila kupingwa tena kwa dispute kibao alafu turnout inafika 100%? Alafu wote JPM!! Hahahahah

Kuhusu wawakilishi si kweli, Dk Slaa na Lowassa kwa asilimia walizopata za kura hazikulingana na % za ubunge (Assuming NEC ni sahihi), kura million 6 zikupe wabunge 35?? Are u serious? Unless ukiri kuna wizi mlifanya.
Wizi gani? Kwani unadhani JPM aliposema watanzania waweke betri tatu na katikati wasiweke gunzi la mahindi hawakumuelewa?

Mpaka sasa hakuna ushahidi wa wazi kuwa wizi ulifanyika, ila mnajaribu kuwaamisha watu kwa ushabidi usio wq wazi. Mfano Kawe mlidai kukamata kura zilizopigwa,kwa nini mzichome kihuni?
 
Wizi gani? Kwani unadhani JPM aliposema watanzania waweke betri tatu na katikati wasiweke gunzi la mahindi hawakumuelewa?

Mpaka sasa hakuna ushahidi wa wazi kuwa wizi ulifanyika, ila mnajaribu kuwaamisha watu kwa ushabidi usio wq wazi. Mfano Kawe mlidai kukamata kura zilizopigwa,kwa nini mzichome kihuni?
Jibu swali kwanini kuna tofauti ya kura laki 1?
Nielezee kivp turnout iwe 100% huko Busega!!
Kweli kabisa hata kata ya Uhang'ati huko ashinde JPM? Mpaka Wete? Ole? Duh kuna vitu vinashangaza kabisa.
Kinachoshangaza hata walioshinda hawashangilii. Kata nayotoka matokeo yalitangazwa hakuna hata aliyeshangilia watu walikua hawana time kabisa hadi unajiuliza kuna uchaguzi au kikao cha harusi?
Msijidanganye mkuu zungukeni mtaani sio tu upinzani ila hta wana ccm hawajaridhika na huu ushindi wa kishindo. Mbona wa Kikwete 2005 ulikua wazi kabisa kuwa ni kishindo hta kina Mhe.Mbowe walikiri mapema kabisa.
 
How do explain variation ya kura laki 1 kati ya JPM na Gwajima?
Au tuelezee kura za Misungwi mkuu!!

Hvi kweli kabisa Lissu aangushwe na JPM hadi vituo vyote vya Ikungi? Yaani vyoteeeee? U can't be serious
mkuu huna haja ya kuhangaika na wajinga
 
Kuna taabu kidogo kutafakari matokeo ya Uchaguzi mkuu huu, lakini kuna sababu nyingi ikiwemo japo sina hakika, mkono wa mtu katika baadhi ya maeneo.

Zitto nashukuru ulikuwa Kaliua kama unavyo sema hapo juu, jee kaukabila katika kupiga kura hukuona hilo? Sababu eneo lako la Kaliua lina ka-influence ya jamii ya mkulu.

U kabila katika maeneo fulani fulani ulipunguza ushindani wa kidemokrasia. Jamaa yangu Jarufu ali raise this matter akiwa Rukwa na hata Bunda.

Nijuze mimi nilikua Hai siku yenyewe, na kabla nafikiri unakumbuka vizuri nilitumia muda mwingi kwenye pilika kali ya kuchangisha, nashukuru wewe ndio ulioshawishi na ku influence mimi kumtumia Lema kitu wakati ame raise alarm.

NIJUZE KUHUSU ETHNICITY.
 
Jibu swali kwanini kuna tofauti ya kura laki 1?
Nielezee kivp turnout iwe 100% huko Busega!!
Kweli kabisa hata kata ya Uhang'ati huko ashinde JPM? Mpaka Wete? Ole? Duh kuna vitu vinashangaza kabisa.
Kinachoshangaza hata walioshinda hawashangilii. Kata nayotoka matokeo yalitangazwa hakuna hata aliyeshangilia watu walikua hawana time kabisa hadi unajiuliza kuna uchaguzi au kikao cha harusi?
Msijidanganye mkuu zungukeni mtaani sio tu upinzani ila hta wana ccm hawajaridhika na huu ushindi wa kishindo. Mbona wa Kikwete 2005 ulikua wazi kabisa kuwa ni kishindo hta kina Mhe.Mbowe walikiri mapema kabisa.
Mkuu sasa ulitaka Mbowe akubali wakati hata yeye amebwagwa? kama angeshinde ubunge tayari angetoa pongezi kwa JPM.

Kwa hiyo wananchi kujitokeza kupiga kura 100% ni jambo la ajabu?

Hilo la kutokushangilia mimi nadhani halina logic maana mimi naona kilichotokea watu walikitarajia mapema mno,hasa kwa anguko la Chadema na Act wazalendo,maana siasa kiunaharakati hazina nafasi Tanzania tena.

Kwa hiyo ulitaka kwa kuwa Gwajima alikuwa mgombea wa Ccm basi kura zake zilingane na mgombea urais wa Ccm? Hii ni ngumu maana kwenye ubunge kuna mengi...

Iwe wete au Uhang'ati wananchi wanataka maendeleo na miaka mitano iliyopita waliona matokeo chanya kwa hiyo sioni ajabu JPM kupata kura nyingi.
 
Mkuu sasa ulitaka Mbowe akubali wakati hata yeye amebwagwa? kama angeshinde ubunge tayari angetoa pongezi kwa JPM.

Kwa hiyo wananchi kujitokeza kupiga kura 100% ni jambo la ajabu?

Hilo la kutokushangilia mimi nadhani halina logic maana mimi naona kilichotokea watu walikitarajia mapema mno,hasa kwa anguko la Chadema na Act wazalendo,maana siasa kiunaharakati hazina nafasi Tanzania tena.

Kwa hiyo ulitaka kwa kuwa Gwajima alikuwa mgombea wa Ccm basi kura zake zilingane na mgombea urais wa Ccm? Hii ni ngumu maana kwenye ubunge kuna mengi...

Iwe wete au Uhang'ati wananchi wanataka maendeleo na miaka mitano iliyopita waliona matokeo chanya kwa hiyo sioni ajabu JPM kupata kura nyingi.
Haaahaaa ningeshangaa sana kma ungejibu kwa hoja.

Voter turnout ya 100% haiwezi tokea kwenye jimbo la wapiga kura laki plus. Kma umesoma tafiti huwa kuna margin of error kidogo sasa huko Busega iliwezekanaje turnout iwe full house?

Variation ya kura laki 1 ina maana walipiga kura za Urais tu alafu za ubunge wakapotezea!! Watu laki hawakuchagua mbunge wao wala diwani!! Haaahaaa

Hai kura zaidi ya laki zilipigwa alafu matokeo ndani ya masaa 6 hku majimbo madogo kma ya Ole yalichukua siku mpka 3. Embu Nielezee software gani ilitumika kujumuisha matokeo ili tuwaazime hta US wamalize chaguzi zao ndani ya masaa 6 tu!!
 
Haaahaaa ningeshangaa sana kma ungejibu kwa hoja.

Voter turnout ya 100% haiwezi tokea kwenye jimbo la wapiga kura laki plus. Kma umesoma tafiti huwa kuna margin of error kidogo sasa huko Busega iliwezekanaje turnout iwe full house?

Variation ya kura laki 1 ina maana walipiga kura za Urais tu alafu za ubunge wakapotezea!! Watu laki hawakuchagua mbunge wao wala diwani!! Haaahaaa

Hai kura zaidi ya laki zilipigwa alafu matokeo ndani ya masaa 6 hku majimbo madogo kma ya Ole yalichukua siku mpka 3. Embu Nielezee software gani ilitumika kujumuisha matokeo ili tuwaazime hta US wamalize chaguzi zao ndani ya masaa 6 tu!!
Hizo turnout ya 100% unazitoa tu ili kupata justification kuwa kuna wizi ulifanyika, lakini all in all kama hizi allegagitions zipo kweli ukiambiwa ulete ushahidi nadhani huwezi kuwa na ushahidi wa kutosha.

Kama Kawe watu walichagua rais tu mbona wagombea wote wa ubunge walishiriki zoezi la majumuisho ya kura toka vituoni? Mdeee nae hajasaini fomu ya kukubali matokeo?

Kama huko Hai matokeo yalitangazwa kabla ya vituo vyote kujumulishwa mnasubiri nini kwenda mahakamani? Kwa siasq mlizozoea mtakaa sana. Maana Tanzania imebadilika.
 
Chadema ilishindwa fair and square...maigizo mengine yote tuache...kwamba eti yalikuwepo mabegi ya kura zilizokuwa zimepigwa na kusambazwa kwenye baadhi ya vituo ni uongo mkubwa..kulikuwepo na waangalizi wa uchaguzi kwenye vituo vingi Redet na makundi mengine kadhaa na hakuna aliyesema kulikuwepo na mabegi ya kura...Mimi kwenye vituo changu sikuona begi la kura...yaani ni akina Mdee na wanachadema wengine ndio eti walioona kinachoitwa mabegi ya kura..
Upofu wako unasababishwa na mahaba, ni jambo la kawaida kabisa!
 
Back
Top Bottom