kote balaa, haina haja ya kuulizana we uko kundi gani......kila mmoja anajijua yuko wapi, kwa kweli mi nipo kwenye ndoa... ila kwa kwa kweli kaukimwi kamekaa vibaya. MAANA HATA MAHUSIANO YASIYO NDOA, HUWA WANAZOEANA KONDOM HUTUPWA KULE...MBALI, KISHA NYAMANYAMA... HAPO NAPO INAKUAJE? WENYE NDOA...