jamani, mi mpaka leo siamini, na nashindwa kabisa kuamini ati mwalimu died a natural death, nop. Kuna wanaodhani hii nchi ni yao kuliko wengine, ndo walio fanya jitihada ya kufanya mwalimu asiwepo nadhani, no way, angekuwepo, nchi isingekuwa hihvi ilivyo sasa.