Awamu ya Kikwete viongozi wote kuanzia Rais wameamua kutumia kalumanzila ya design hii ya viungo vya Albino.
Albino kwa sasa kimbieni nchi tu tena muende mbali kabisa mkaombe hifadhi kwa sababu hii serikali itawamaliza kweli.
Nawaaasa kimbieni mbali na hii nchi mkajisalimishe kwenye balozi za...
Amsha amsha popote pale ni muhimu sana kuliko kitu chochote. Watu wapya wanajitokeza kila wakati kwa hiyo lazima wapewe elimu/ ufahamu ili waweze kuwa up to date muda wote
Zanzibar Spices lile titi la mama yule limekuvutia nini sasa pale wakati yule mama alikuwa ananyonyesha??
Au bado uko ile foolish age ukiona hata titi la mbibi mpini unaenda hewani??
Hayo matiti ya kina mama ni vitu vya kawaida sana nadhani ukikua utaelewa
Plato VP, ile ya Ben umekamilisha kuthibitisha au umeiachia juujuu ukarukia mpasho mwingine??
Mimi naona ktk hili ungewahi kwenye mahakama yenu, itakusaidia zaidi ya hapa jf.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.