Recent content by masondi

  1. M

    JamiiForums Tanzania CCM hati hati Geita, Mwanza, Shinyanga, Simiyu na Tabora 2015

    Bise dolema kale, tupo na mzee mapesa nae msanii tu tunasubiri 2015 tumuonyeshe kazi ADISULA
  2. M

    JamiiForums Tanzania Kwa hili; CHADEMA hawakutenda Vyema, Walikosea!

    Mbona iyo ni intro tu, tunaomba na huku kwetu mikoani watupe izo namba tumuonyeshe kazi huyu bibi
  3. M

    JamiiForums Tanzania Juliana Shonza, Mtela Mwampamba wahamia CCM...

    si unajua tena JK na walimwende! wakuu wa wilaya wajiandae na mabadiliko tena ili akina Shoza wapate nafasi
  4. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Namupenda, ananipenda

    Nina miaka 28 sasa, nimesoma mpaka chuo kikuu na shahada ya Business Administration nimeshuhudia jinsi marafiki zangu walivyowakimbilia kina dada wa chuo eti uchumba wakati tunasoma na wengi wao waliishia kubwaga, hali hi ilinikatisha tamaa kabisa na niliapa sitokaa nioe mwanamke alosoma. sasa...
  5. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania 'NAKUPENDA MPENZI' yaleta tafrani kwenye ndoa! Kuwa makini...

    Ndio maana mimi sitaki kuoa 7bu ya usaliti huu nina miaka 39 sasa
  6. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mpenzi wangu anapenda pesa sana kiasi kwamba naona kama yupo na mimi kwa ajili ya pesa

    Naomba unitumie namba zake za simu hao ndo cc tunawataka
  7. M

    JamiiForums Tanzania Dr. Kigwala amtaka Mbatia kujiuzuru ubunge

    Kigwangala, najua anaongea sana hi yote ni kutafuta umaarufu, ccm si ya ivo utongea sana na hutapata kitu wapo wengi wamekuwemo ccm kabla ya uhuru lakini wameishia kusulubiwa muulize jirani yako mzee wa kasi na viwango atakupa jibu, sikumbuki vzur wana JF wanikumbushe huyu Dr. NEC ya ccm...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Ndugai kuwa mkweli wote tuna macho na tumeona

    hiyo ndo ccm
  9. M

    JamiiForums Tanzania Ndugai kuwa mkweli wote tuna macho na tumeona

    [QUOTE=sammosses;5624019]Kitendo cha naibu spika wa bunge Mh. Job Ndugai kuzungumza TBC1 asubuhi wakati akihojiwa kuhusiana na utata uliotokea bungeni kimezidi kuonyesha ni jinsi gani anatumia chombo hicho cha habari kujisafisha ilihali sakata hilo la wabunge bado lipo kwenye kamati ya uongozi...
  10. M

    JamiiForums Tanzania Matapeli sugu wa mtoni Mtongani akina ntunyungu

    Tajiri hafungwi TZ
  11. M

    JamiiForums Tanzania RE: NAWAOMBA WATANZANIA MNISAIDIE KAZI PLZ NINA Msc ya IT

    hehehehee
Back
Top Bottom