Recent content by masolwa masalu

  1. M

    Tanesco hii ni nini?

    Hata mleta mada naye arudi darasani. Kaandika Mwandisi badala ya Mhandisi. "Mwosha huoshwa"
  2. M

    Tulikotoka nakumbuka au ulikuwepo?

    Nyie wote mlikuwa bado. Kabla ya UDA, ilikuwepo DMT. Konda alipita kati akikatisha tiketi kwa mashine ya kuzungusha. DMT ilivunjwa na kutengwa kampuni mbili za KAMATA (Kampuni ya Mabasi ya Taifa) na UDA (Usafiri Dar es Salaam). Sasa endeleeni kuanzia hapo!?
  3. M

    Waziri Mkuu- Serikali Imeafiki Bunge Kutorushwa Live Tbc

    Kuna unafiki mkubwa umejificha nyuma ya uamuzi wa serikali kuruhusu TBC kutorusha LIVE mkutano wa 11 wa Bunge letu tukufu. Tusubiri!?
  4. M

    Tangazo la TiGo 4G Linadhalilisha

    Lakini pia Tigo wabainishe ni wamiliki wa simu zenye uwezo upi wanaotakiwa kujiunga na 4G, vinginevyo ni usumbufu kwa wateja wao. Tangazo linawataka wateja wa mtandao huo kwenda ofisi yo yote ya tigo ili kubadili chip ya 4G bure wakati siyo wote walio na simu zenye uwezo huo.
  5. M

    Uteuzi wa viongozi

    Kwa Maswi nadhani kuna jambo ameligundua, ama kutokana na yale mengi mabaya yaliyoandikwa na wadau kuhusu maovu yake, ama ameshindwa kuendana na kasi ya JPM. Tusubiri linakuja!
  6. M

    Msanii Wema Sepetu akamatwa kwa kuihujumu TANESCO

    Watu hawakumwelewa Pombe alipokuwa akionya kuwa "wataisoma namba" na wakadhani kuwa wanaoambiwa ni wapinzani, kumbe sivyo! Aliwaambia mafisadi wote, na bahati mbaya wanaoibuliwa mpaka sasa wote ni ccm!
  7. M

    Ajali: Mtu asiyefahamika amefariki baada ya gari lake kuteketea kwa moto Kibaha

    Yawezekana pia alikuwa chakari na akashindwa kujiokoa moto ulipoanza! R.I.P
  8. M

    Natafuta wataalamu wa Zabuni

    Nawaomba wana JF mnisaidie kufahamu ni wapi hapa Dar naweza kupata wataalamu waandaaji wa "Tender Documents" kwa ajili ya kushindania zabuni. Nahitaji kufahamu pamoja na gharama. Endapo wao watapenda wenyewe kuwasiliana nami, tuwasiliane kwa 0784411525
  9. M

    My senior is micromanaging, hypersensitive, demanding and commanding

    Simple! Square out the matter by shouting at him the way he does.
  10. M

    Wanaswa na Pombe zikiwa ndani ya Makopo yenye alama ya Pepsi Saudi Arabia

    Kwa vyo vote hawakuanza jana, ila arobaini zao zimetimia. Hongera kwa kuitambulisha bia Uarabuni!
  11. M

    Mbeya: Raia Wanne wa China mbaroni wakiwa na Pembe 11 zinazodhaniwa kuwa ni za Faru

    Nilikwisha andika huko nyuma, kila balaa kubwa la ujangili na ufisadi nchini sasa hivi ni WACHINA!? Tanzania imewapendea nini? Kwa nini wasiondolewe?! Wachina waliojenga TAZARA waliamika kidogo, tulio nao leo ni wezi2.
  12. M

    Katibu wa Bunge Thomas Kashilila apata ajali ya gari akitoka kumzika Deo Filikunjombe

    Duh! Mpaka itakapokwisha tar 25/10/2015 mafisiemu wengi watakuwa wametolewa KAFARA!
  13. M

    Ubabaishaji Kituo cha Ufundi cha Tecno

    Nokia ni habari ingine. Mimi ninayo N 73 tangu 2005, nabadilisha housing tu, nashindwa kuiacha maana inapiga mzigo bila hofu.
  14. M

    Kwanini tuaminishwe kuwa Mhe Lowassa anaumwa ilihali anapiga kampeni ya kufa mtu?

    Lakini CCM kumbukeni kuwa hata Mh. Kikwete alianguka zaidi ya mara mbili jukwaani mwaka 2005 na jamii ikaaminishwa kuwa ni mgonjwa. Hivyo kumcheka Mh. Lowasa ni kielelezo cha kujisahau. Acheni!
Back
Top Bottom