Recent content by Masokwe

  1. Masokwe

    Kazi ya binadamu duniani imeshaisha takriban miaka 445,000 iliyopita

    Dhihaka ni mingi, hatujiulizi why kuna dini zaidi ya milioni?? Ukiwa timamu lazima ufikirie je mwandishi aliwaza nini mipaka kuandika maandiko haya. Ila hizi ni kwa walio sawa upstairs
  2. Masokwe

    Ewe mkulima. Hebu soma hii nyaraka, hutajilaumu

    Wilaya yangu naweza Lima mogokaa
  3. Masokwe

    Ninahitaji mke atakayekuwa tayari kuishi nami

    Wapare wenzangu nisaidieni kutafsiri kipare cha Ugweno asee, Kama hujui jambo fanya ueleweshwe Fithoma vya kighonu 1. Ukaya vuki na irawa kwatamwa. 2. Nkwavwagha kitoro uemanya tha fundu kwagheghava maito 3. Irufi ya mwana wa mkiva lichinyuka. 4. Mumu umwi ukairimetho imanya njafi ivirire 5...
  4. Masokwe

    Ninahitaji mke atakayekuwa tayari kuishi nami

    Sikujua kuwa rangi inahusisha urembo Niliweka kuzuia maswali mengi.
  5. Masokwe

    Ninahitaji mke atakayekuwa tayari kuishi nami

    Tafuta mpare aje afanye tafsiri ya hiki kigweno. Kuna watu mnajikuta mnajua kila kitu. Fithoma vya kighonu 1. Ukaya vuki na irawa kwatamwa. 2. Nkwavwagha kitoro uemanya tha fundu kwagheghava maito 3. Irufi ya mwana wa mkiva lichinyuka. 4. Mumu umwi ukairimetho imanya njafi ivirire 5. Ukaora...
  6. Masokwe

    Ninahitaji mke atakayekuwa tayari kuishi nami

    Nadhani wewe ndio hujiamini, kafukue tena vitabu, kuna kabla ya mgweno na mpare vitu tofauti kabisa.
  7. Masokwe

    Ninahitaji mke atakayekuwa tayari kuishi nami

    Habari zenu Jukwaa Hili Ombi langu ni ninahitaji mke atakayekuwa tayari kuishi nami. Sifa zangu. Umri :35yrs Elimu: Shahada Kazi : Biashara, Mkulima na mfugaji Rangi: (wanaita maji ya kunde 🥸) Dini: Moslem Kabila : Mgweno Kimo: mrefu wa kutosha sanaaa [emoji851] Sifa za mke 1. Umri: 25...
  8. Masokwe

    Hakuna mwanamke anaye penda na kuvumilia mwanaume masikini, mwanaume masikini ni mzigo mzito kwa mwanamke

    Sahihi kabisaaa, ukiwa huna maokoto, basi uwe na mbuzi au kondoo wa kukamua maziwa, Otherwise utaona ndoa chungu sana, utaona unyanyaswa haswaa
  9. Masokwe

    Kama unataka kuoa au kuolewa haraka soma ujumbe huu

    Wacha nije inbox, yule sujui malaika namtaka haraka sana. Pia kuna lishangazi nalitaka haswaa
  10. Masokwe

    Zifahamu Mashine mbalimbali ambazo zinaweza kukusaidia kukuza miradi midogo hapa Tanzania

    Also je pump za kuvuta maji za Petrol kuaanzia bei gani!? Na diesel pia!? Na duka lako lipo wapi!?
  11. Masokwe

    Zifahamu Mashine mbalimbali ambazo zinaweza kukusaidia kukuza miradi midogo hapa Tanzania

    Nahitaji solar Yenye uwezo wa kuvuta maji kwenye kisima chenye urefu wa mita 90
  12. Masokwe

    LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

    Ahaa okay, so taifa la Mungu linapigwa na magaidi, na Mungu anachekelea
  13. Masokwe

    Wachawi wengi wa kibongo ni wachafu wa mwili, roho na mazingira

    Sipati majibu bado, me nahitaji mganga konki, nina shida zangu mingi sana na mahakama naona sitopata haki yangu. Tafadhali Mshana Jr, msaada wako, na wengine wenye haya majuzi.
  14. Masokwe

    Yule bibi wa Ngende aliyekuwa akigawa vyeo na utajiri amekufa

    Hawajui utamu wa papuchi mpya kila deile
Back
Top Bottom