Uzalishaji uleule halafu unataka mshahara mkubwa? Ni sawa na kuingiza 10 ukatumia 11. Elewen matumizi ya 11 lazima yaambatane na uzalishaji unaozidi 11. Good Mr. President.
Ndiyo maana huwa tunasema (Maneno ya Wahenga) Mdharau mwiba mguu huota tende. Nape alionesha kudharau vita ya madawa ya kulevya toka day 1 lakini kilichomtokea anajuta mwenyewe. Kwa mtu anayejielewa huo ndio ulikuwa wakati wa kushikamana na wenzako. Hata polisi wanapopambana na wavinja sheria...
Mpka madawa ya kulevya yaishe ndio mtaacha kumsema RC Makonda. Kwasasa mnaendeshwa n wauza unga ama kwa kujielewa au kutojielewa. Kwa ufupi RC Makonda ndiye Jemedari wa wauza unga Tanzania. Hata Mbowe bado tunamchunguza kwa ukaribu zaidi maana kama anakwepa kodi ni wazi hata biashara ya unga...
Wewe ni kati ya Watanzania wajinga tena hujielewi unachofanya. Kwa upande wangu hata kama hayo unayosema yote ni kweli (ambao ni uongo), huwezi kuwa sehemu ya Mwekezaji mgeni pindi linapokuja suala la maslahi ya nchi yako. Ulisomeshwa usaidie nchi kupata maslahi yake na siyo kusaidia nchi...
Rais anapanga mambo yake kwa kuondoa kabisa hali ya wahuni kuhonga wasaidizi wa Rais. Ni kwa njia hiyo tu ndipo tutaweza kupata matokeo chanyA+ kwasasa. Watanzania hawaaminiki tena. Hata mimi sitaki kuaminiwa muda huu. Ni mguu kwa mguu.
Rais makini wakati wote huweka msisitizo kuonesha kazi hiyo ni muhimu. Hapa sio issue ya kuaminiana bali ni kulinda maslahi ya Taifa. Na kama CAG yupo tentative lazima atakwenda kufanya kazi bora zaidi. Mazoea ya kuaminiana ndiyo yamefanya nchi imekuwa na ulaji na walaji kila kona. Ni mjinga...
Kwahiyo wewe ulitaka tununue Boeing 777 kwa safari ya Songea? [emoji23][emoji23]
Unachekesha sana. Hao abiria 450 wa kwenda Songea wapo wapi? Halafu huo uwanja wa Songea unaweza kupokea Boeing 777?
Umeandika ngonjera nyingi kweli lakini hayo maswali mawili hujayajibu! Labda uandike tena..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.