Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 15,997
Kumekuwa na mada zinaanzishwa na baadhi ya wana-Chadema kindakindaki kuwa Lowassa na wafuasi wake waondoke ili waweze kufanya siasa kama zamani. Wengine wameenda mbali wakitaka katibu mkuu Dr.Mashinji ambaye kimsingi ni mteule wa EL aondoke eti sababu 'kapooza'.
Kwa kifupi tu ninnawashauri kama mnaweza kuchanga bilioni 10 mkarudisha sawa ila kama ni porojo tupu endeleeni kuota ndoto za mchana. Sasa ni wakati wa kundi hilo kula matunda ya walichokiwekeza. Hapo ndipo msingi wa hoja 'jazwa ujazwe' unapokamilika.
Mimi nimewafungua tu macho ila wenye maamuzi ni nyie. Tujikumbushe kwa picha hapo chini ya UKAWA halisi.
Nawasilisha.
Kwa kifupi tu ninnawashauri kama mnaweza kuchanga bilioni 10 mkarudisha sawa ila kama ni porojo tupu endeleeni kuota ndoto za mchana. Sasa ni wakati wa kundi hilo kula matunda ya walichokiwekeza. Hapo ndipo msingi wa hoja 'jazwa ujazwe' unapokamilika.
Mimi nimewafungua tu macho ila wenye maamuzi ni nyie. Tujikumbushe kwa picha hapo chini ya UKAWA halisi.
Nawasilisha.