Hapa ni mwendo wa kupiga tu. Kwani wewe kwenu hakuna njaa hata kidogo. Wewe piga tu hata ukichukua chote kilichoko ni sawa tu.
Kwani uliwahi kusikia mtu hata mmoja amechukuliwa hatua yoyote? Ukiacha utakuwa husiwi wala, na kweli uliwahi kusikia mtu kasifiwa kwa matumizi mazuri ya pesa ya Serikali?
Ofisi ina faida gani. Mtandao ndio shughuli zao, ukiwataka wanaptikana kila saa. Ofisi moja kwa dunia nzima. Hawa tatizo wanataka mambo ya kuzima data, na pia hawa wengine ie. Vod., airte., na wengine hawataki ushindani hapo.
Pole sana. Mara unakaa kusubiri baba afe halafu unakufa wewe unamwacha baba. Kifo hakitabiriki. Sio lazima mgonjwa afe. Huwa wanakufa wazima kabisa na kuwaacha wagonjwa wa muda mrefu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.