Huyo rafiki yako bila kumungunya maneno kashapigwa kipapai, na Kuna uwezekano huyo mke wake ni mchawi au anatoka familia ya kichawi. Cha kufanya hapo ni kumsadia bila yeye kujua ili muweze kumuondolea aliyolishwa na kunyweshwa, matokeo yake kainamishwa kichwa.
Jamaa ukute hamjari hata baba yake...
Hapo nikuambie tu ya kwamba, mziki unakusubilia mbele si muda kitambo utachezeshwa kwata. Fanatic religious Kama alivyo mama mkweo ni wabaya sana tena mara nyingi ni wachawi.
Tukio la kupaliwa maziwa na kufa mtoto lichunguze...that was an indication kwa yanayokuja. Kumbuka yajayo hayafurahishi
Nina kufuatilia kwa umakini na ukaribu sana...wafia dini wnakufa sana hasa pale wanapousahau ushauri wa mhubiri 7:15-18. Mkuu yaliwahi kunipata, Mimi nilioa mchawi enzi hizo nikiwa nimfia dini.
Anyway nisikutoe kwenye kisa chako kinachoelimisha labda wengi watatokwa tongotongo kwenye...
Mkubalie tu, wewe na yeye si mtakuwa mwili mmoja! Narrative ya kikiristo ambayo mi binafsi naona ni uongo.
Pili, mwanamke au mwanaume anayeingia kwenye ndoa akiwa amengalia maslahi si mwenza sahihi wa kuwa nae.
Nasisitiza, mkubalie maana huyo ndo chaguo lako mwenyewe
Upumbavu tu ndo umemjaa kichwani...wakati wa kampeni zao za kuiba kura ndo unamkuta kwa waganga anaowaita wapiga ramuri chonganishi. Nchi hii wanasiasa ni taka taka brainwashed to the maximum
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.