Recent content by Mashilla

  1. Mashilla

    Sikuabliani na Magufuli kuhusu somo la Historia. Kama ni Uzalendo, watoto watajifunza kwenye somo la URAIA

    Tatizo la msingi la nchi hii cio history ni mfumo wa elimu mbovu na elimu yetu ya kumezesha kila kitu, cha kubadailisha ni Nini kisomwe hasa elimu ya ujasiriamali na serikali iandae masoko kwa bidhaa zitakazo tengenezwa na cio somo la historia ya tz
  2. Mashilla

    Nayaona maisha mapya bila ruzuku wala kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni

    Mwandishi hajielewi ruzuku haipatikani kwa idadi ya wabunge ila kura alizozipata mgombea was uraisi was chama na kisheria apate angalau 5% ya kura zote anahusishwa na wabunge Mia kumi na tatu kwa hesabu ya kawaida lissu anao wabunge 15 wa viti maalum.
  3. Mashilla

    CHADEMA kama wangekata rufaa dhidi ya hukumu wangejiweka pazuri zaidi 2020

    No hawajakosea watoke then mapambano ya tume huru yaendelee
  4. Mashilla

    CHADEMA kama wangekata rufaa dhidi ya hukumu wangejiweka pazuri zaidi 2020

    No hawajakosea watoke then mapambano ya tume huru yaendelee
  5. Mashilla

    Benki ya Dunia inatarajiwa kuidhinisha mkopo wa $500M kwa Tanzania baada ya Tanzania kutoa utetezi wake

    Mwanzoni somo la diplomasia ya kikanda lilipita kushoto naw wanalamba matapishi yao
  6. Mashilla

    Chama cha Upinzani ni kimoja tu na ndicho kinapata misukosuko

    Haha that's confusion hapo Kuna mambo mawili moja mbatia anawezakuwa anatumika kwa kujua au kwa kutokujua ili kuwakwaza na kuwa confuse chadema na pili Ni kweli anawezakuwa agent was TISS
  7. Mashilla

    Membe, Japo Umeonewa, Usifanye Kosa la Lowassa!, Ila CCM ya Ajabu!, Uamuzi based on Illegal Evidence ni Void Ab Initial!.

    Aende upinzani hasa chadema ili akabalance kura then huyo mwenyekiti wenu anayeogopwa anamalizia mda wake 2025 mbebezi atakuwa free kokote atakapokuwa
  8. Mashilla

    Ushauri wa bure tu kwa aliyefurumushwa

    Those people are coward wanaogopa mpaka kivuli chao
  9. Mashilla

    Serikali: Mishahara minono yaja kwa watumishi wa umma

    Haha hata mlipe milioni kima Cha chini ccm imechokwa na watumishi wa umma, na 70% wanasuport upinzani hata mkiongeza wembe Ni ule ule
  10. Mashilla

    Dodoma: Mwanafunzi ashikiliwa na Jeshi la Polisi baada ya kupiga na kutuma picha za ukosefu wa maji Chuo Kikuu Dodoma

    Nchi inashida hii badala ya kumpongeza na kushughulika na tatizo eti anawekwa selo, Kwel?
  11. Mashilla

    Dkt. Shika sasa ana maisha magumu, hana pa kuishi

    Haha mda wa uchaguzi umefika naona sasa anaibuliwa
  12. Mashilla

    Je, chama kikuu cha upinzani CHADEMA kina Profesa mmoja tu?

    Maprof wengi wamekimbia taaluma zao kwaajili ya njaaa kwani siasa ndio taasisi inayolipa zaidi kuliko taasisi nyingine yoyote ile ivyo hawajaenda Kama watendaji Ila kutibu njaaa
Back
Top Bottom