Kwakweli huyo bibie atakua anakudanganya, mbona anakuambia kitu adimu sana ambacho si rahisi kukutana nacho, karne hii,
Kama kweli unampenda fanya jambo moja, ambalo linaweza kukusaidia, tikisa kiberiti lkn ukiona, kinatikisika ujue hakupendi ila we unampenda... Hivyo huna budi kuchukua time...