Recent content by mashikolo mageni

  1. M

    Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete kuhudhuria harusi ya Alikiba jijini Nairobi Kenya

    Hata aliyeolewa na alkiba Kenya anatafunwa vizuri tu sema hujui skendonzake.
  2. M

    DODOMA: Moshi uliotanda Bungeni wasababisha vikao kuahirishwa

    Awepo tu maana hakuna la maana wanalofanya wabunge wetu.
  3. M

    Kwa nini si vyema kuanzia duka la dawa (pharmacy) pindi unapougua?

    Copy and paste ,Nimeokota fb mjadala huu, naomba uwaguse na nyinyi.
  4. M

    Kwa nini si vyema kuanzia duka la dawa (pharmacy) pindi unapougua?

    KWA NINI SI VYEMA KUANZIA DUKA LA DAWA (PHARMACY) PINDI UNAPOUGUA Neno Pharmacy linaelezwa katika kamusi ya mtandaoni ya Merriam Webster likiwa na maana mbili (tafsiri imefanywa na mimi mwenyewe): 1. Ujuzi ama fani ya kuandaa, kutunza, kuweka pamoja na kutoa madawa. 2. Mahali ambapo madawa...
  5. M

    PCB kusomea kozi ya chemical and industrial engineering

    Soma ata nursing, lab, radiotherapy,enverlomental, ziko poa pia
  6. M

    Kutokwa na mkojo wa njano nini tatizo au madhara yake?

    Kunywa maji mengi kuondoa tatizo la mkojo wa njano ,, kutomaliza mkojo wako ni dalili ya magonjwa ya zinaa
  7. M

    Ujenzi wa Hospitali ya Rufaa wilaya ya Chato mkoani Geita

    Subiria ikishakamilika ya chato kutajengwa pia katika mikoa hiyo uliyoitaji, Tupunguze povu..
  8. M

    Kati ya vyuo hivi vya pharmacy, kipi kitamfaa?

    Hahaaaaaa pole karbon 14 si kila mtu humu ni msomi, mm sisomi nabisha uongo mnaopotosha ndani humu. Kwa mantiki hiyo usiniite msomi endelea kupiga kitabu kijana. Sent using Jamii Forums mobile app
  9. M

    Kati ya vyuo hivi vya pharmacy, kipi kitamfaa?

    Sibishanaga na mashoga... kama ni ujinga ni wangu unakuhusu nn na siyo lazima usome comments zangu. Huna cha kucoment Kaa kimya na siyo kuniita mjinga. Mwandawazi ww. Sent using Jamii Forums mobile app
  10. M

    Kati ya vyuo hivi vya pharmacy, kipi kitamfaa?

    Sawa mkuu kwa taarifa... Sent using Jamii Forums mobile app
  11. M

    Kati ya vyuo hivi vya pharmacy, kipi kitamfaa?

    [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] mkuu msamehe kila muwamba ngoma huvutia kwake. Thread zingine za kipuuzi kama hizi wasilete. Unashindanisha vyuo choko na vyuo vya maana. Na nimegundua jamaa hakutaka ushauri bali anashindanisha ivo vyuo. Sent using Jamii Forums mobile app
  12. M

    Mhe. Rais Magufuli watanzania tumekuelewa, chapa kazi; ya akina Lissu yasikupotezee lengo

    Viva viva jemedali magufuri. Endelea kupiga kazi na uachane na kelele za vyuraaa.. Sent using Jamii Forums mobile app
  13. M

    Kati ya vyuo hivi vya pharmacy, kipi kitamfaa?

    Pia kuna pharmacy pale nahisi saizi mambo yamewekwa sawa maana kabla ya hapo kuna watu hawakutambulika wakati wa ajira. Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom