Nimekuelewa mkuu!! Japo uliposema "hakuna maabara" ndipo umenipiga chenga... Ila...
Ila kitu unatakiwa ujue ni hiki, hamna kozi ya uhandisi inatolewa kwa miaka mitatu kwa mtu aliye maliza form6...
Pili
Industrial engineering ya udsm ni pure engineering haina siasa ndani... Ukiangalja modules zao utaona wanaanza na modules za engineering mechanics, engineering drawings, material technology, electrical engineering, mathematics for engineers na computer programming in c!!
Ile ya mzumbe huwezi kuta engineering drawings wala mechanics leave alone fluid mechanics na advance mathematics plus material technology!!
Industrial engineering ya udsm ni kama subset ya mechanical engineering sema wao hawapo general kama mechanical ndio maana wamebase kwenye uhandisi wa viwanda!!
Kwa nnavyoona ni bora usome mechanical engineering yenye wigo mpana kuliko industrial ambayo ina base kwenye viwanda tu!!
Kwa kifupi ya mzumbe inamuandaa mtu awe manager wa viwanda vya uzalizashaji na sio engineer na udsm inamuandaa mtu kwanza awe engineer pili awe manager wa viwanda!!