Recent content by Mashibes

  1. M

    Elibariki Kingu: Wabunge wa CCM tutafia Bungeni tukipitisha bajeti kwa maslahi ya nchi

    Hakuna lolote hapo wanachoangalia ni masilahi yao tu hasa posho ili wajipange kwa ajili ya kupigia kmpeni hata hao chedema ni wanafiki wamechelewa sana kufanya hayo maamuzi is too late kwa sasa maana wameona wanakufani wabung wenzao lkn ingeku ni huku peke yetu huku manzese,,,,walahi chadema...
  2. M

    Dawa za Kulevya: Nape aasa "Tusiwahukumu watu kwa Tuhuma, kubomoa brand ya mtu/taasisi ni sekunde"

    ukienda ziwani kugoa kokoro hapa wavuvi watanielewa wakati mwingine hubeba vidagaa tu bila samaki,........uthubuti unatakiwa kwa levo yake kama mkuu wa mkoa pengine hawezi kupambana nao maana wako kila mkoa na wamejiimarilisha yeye kaanzisha anahitaji suport kutoka kwa viongozi wa juu kama...
  3. M

    Serikali yaipa miezi mitatu Mifuko ya Hifadhi ya Jamii kutekeleza Ujenzi wa Viwanda

    Mbona hii mifuko ya jamii ilikua ikiwekeza kwenye miradi mingine na mlikua hamlalamiki wala kuhoji,?acheni unafiki na kukwamisha maendeleo,wafanyakazi watanufaika na hvyo viwanda.....
  4. M

    Anguko sasa ni dhahiri

    Nimekuelewa hapa mtu ukiona ni sawa katika speech hizi ni lazima mfumo wako wa kufikiri utakua umeolewa ama umefungwa,hivyo hauna haki ya kufikiri na kuchambua jema na baya,,,nikipata mda nitatengeneza uzi kuonesha tofauti ya speech na mazingira yake,mfano kuna speech anatoa amiri jeshi mkuu...
  5. M

    Vyama vya upinzani Tanzania vijisahihishe kwanza vyenyewe

    Rudi ukamalizie kusoma na kwa taarifa yako huo Ukuta hautakuwepo,
  6. M

    Vyama vya upinzani Tanzania vijisahihishe kwanza vyenyewe

    Ndicho mlichobakiza kujitetea eti tuprove kama kweli Lowassa alikia Fisadi, una macho lkn huoni, una masikio lakini husikii, naona mpaka ww ndo umekua Lubuva sasa unamatokeo ya uchaguzi, mbona kama Lowassa aliongoza mbona hajawa raisi? Na uweza kuprove kama Lowassa alishinda? Afu huo ni...
  7. M

    Vyama vya upinzani Tanzania vijisahihishe kwanza vyenyewe

    Slaaa alikua anasimamoa anachokiongea.... angekuwepo Ukuta usingeahirishwa,Slaa alikua kiongozi mwenue kufanya utafiti wa kutosha kabla hajasimama kiongea...mikakati ya slaa ilifanikiwa kuliko ya sasa,angalia operation sangara,angalia pia M4C kabla Mbowe hajabadili gia angani.,,Hatatokea kama...
  8. M

    The House of Kikwete: What went wrong?

    Watu wanazungumzia nguvu za ushawishi ndani ya serikali....hatuzungumzii pesa uwage unaelewa na wewe,pesa hata wewe unazo, (succession planning na legacy).
  9. M

    Kosa kubwa la CHADEMA leo ni kuahirisha UKUTA na kuutangaza tena

    asili ya wafuasi wao kuwakubalia kila kitu wanachosema viongozi wao ni dhahiri shairi wataeleweka tu na wataungwa mkono,,kama walituaminisha Lowassa ni fisadi namba moja na baadae wakamkaribisha na kuanza kumsafisha na bado sisi misukule tukapiga makofi mengi.. watashindwa kutuambia ukuta ni...
  10. M

    Kikwete kweli alikuwa wa Kimataifa: Umuhimu wa Lugha ya Kiingereza

    Acheni uchochezi mwacheni raisi anakula kozi yake ya mwaka mzima pale kwa rasi simba.....akimaliza mtamuona akisafiri..
  11. M

    Hongera CHADEMA kwa kutomjaribu mheshimiwa Rais

    hahhahaaaa ikiwa imebaki siku moja tu dereva kafunga breki kwa visingizio kibao,Ukuta wa biskuti.
  12. M

    Msisitizo; CHADEMA kuna ombwe la uongozi

    Hii pia ni kwa mtu pekee mwenye low betry kichwani ndo anayeweza kushabikia Siasa za majitaka za Chadema,mimi naziita siasa uchwara,unapomtuhumu huyu dada kumbuka pia viongozi wenu wanavyoropoka kumtukana kiongozi wa nchi na ndo tabia yenu mmezoea toka enzi za kikwete kumuita goigoi, leo...
  13. M

    A Police State

    Maoni na Mtazamo wa Mwanasheria Alberto Msando kuhusiana na UKUTA . 12345 . . Activity Ratio Activity RatioSenior Member #1 Yesterday at 4:13 PM PART ONE: KUPATWA KWA JUA; DUNIA NA MWEZI TAREHE 1.09.2016; UKUTA wanasema nini? Serikali inazuia nini? Tarehe 1.9.2016 ni siku...
  14. M

    Salum Mwalimu ukitoka mahabusu achana na CHADEMA

    kukicha ataamuka bado yupo usingizini,ndo maana viongozi wengine wa chama wanazidi kuachia ngazi hasa kanda ya ziwa,chama kiko centralised kama alichangiwa yule kijana aliyemtuka rais kisa anatokea kaskazini leo Salum kiongozi wa kitaifa anasota...? Upendeleo wa kiukanda,ya huyu dikteta uchwara...
Back
Top Bottom