A Police State

A Police State

Kerere ni chuo cha Uganda.Kwahio kerere hazitusaidii wewe jitokeze kesho na tishirt yako..UKUTA umeandaliwa TETEMEKO la magnitude 9.2.
Utafaidi nini ?! Kumbuka wapinzani si wanyarwanda ni ndugu zako, rafiki zako na hata mdogo wako
 
Usipotoshe
US Ni issue ya race relationship, Na matatizo ya baadhi ya police. Individual police Siyo government. Umewahi kusikia president ana support? Au umewahi kusikia FBI wana support? Please stop there, ranting!!

In Tanzania the one who is doing is the president and also the police force is acting on his orders big difference.
Interested Observer, wala usihangaike na watu aina hiyo kwani ingawa inawezekana wamesoma hawakubahatika kuelimika hata chembe. Mtu yeyote anayejaribu kulinganisha utendaji wa polisi Marekani na hawa wa kwetu lazima atakuwa na matatizo ya kisaikolojia.

Wanaotoa maagizo kwa polisi ni viongozi waliochaguliwa na wananchi katika maeneo yao na kama ni jiji polisi watawajibika kwa Meya aliyechaguliwa na wakazi wa jiji hilo. Ikitokea polisi akatenda kinyume na utaratibu wa maagizo inabidi awajibishwe mara moja.
 
Soma tena hiyo fasili ya police state.

Tanzania ya sasa ni police state kabisa, by definition!
LEO KUNA TAARIFA NMEPATA KUWA DAR FFU WAMEKUWA WAKIPITA NA MAGARI YAO YENYE BENDERA NYEKUNDU WAKIWAKAMATA WATU HADI KUWAPIGA BILA SABABU....NA KIWAPANDISHA KATIKA DIFENDAAA

OVA
 
Labda unachanganya Na racism!! Please
10 Signs You're Living in a Police State
10 Signs You're Living in a Police State

Look for these 10 clues when deciding if your government is repressive.


Edward Snowden speaks during an interview in Hong Kong. Snowden, a 29-year-old former technical assistant for the CIA, revealed details of top-secret surveillance conducted by the United States.The Guardian via Getty Images

Recent disclosures concerning the National Security Agency -- and its secret program to collect phone call data on millions of Americans -- have generated a storm of controversy. Legislators are lining up on each side of the issue, and a recentreport from NPR suggests a broader cultural reaction to the news: Sales of George Orwell's novel "1984" have spiked 6,000 percent since the story broke, as media commentators liken the scandal to Orwell's depiction of a future police state.

The term "police state" is a little tricky, but it generally suggests a system of repressive government control where law is derived from executive power, with widespread state surveillance and suppression of free speech. Here are 10 signs -- from history and recent headlines -- that you're living in a police state, or that your country may be headed in that direction.

Pussy Riot band member Nadia Tolokonnikova looks out from a holding cell during a court hearing in the town of Zubova Polyana April 26, 2013.Mikhail Voskresensky/Corbis

The Russian punk band and activist collective known as Pussy Riot made headlines last year when three group members -- Yekaterina Samutsevich, Nadezhda Tolokonnikova and Maria Alyokhina -- were arrested and imprisoned after staging a political protest in Moscow. Two of the women are currently serving out sentences in the ominously named penal colonies IK-14 and IK-32.

Corbis

You may be living in a police state if your leader -- or his brother, or his son -- has been in power for 40 or 50 years. North Korea's Kim Il-Sung ran the country, under various titles, from its establishment in 1948 until his death in 1994. His son Kim Jong-Il took over from 1994 to 2011. And, of course, grandson Kim Jong-Un is in charge now. Cuba's Fidel Castro led the country from 1959 to 2011, then handed the reins off to his brother Raul Castro. There are many more examples: Supreme Leader of Iran Ali Khameni has been in power since 1981; Zimbabwe's Robert Mugabe since 1980; and Libya's Moammar Gadhafi had a 41-year run before his dramatic ouster in 2011.

Chinese artist Ai WeiWei poses for a portrait in one of the sleeping rooms for his live-exhibits at the "documenta" 12 international art show in Kassel, Germany.Kai Pfaffenbach/Corbis

In the international art world, Chinese artist Ai Weiwei is a giant. His sculptures and installations are exhibited worldwide, and he was one of China's homegrown heroes during the 2008 Beijing Olympics -- he helped design the famous “Bird's Nest" stadium. But he's also been highly and publicly critical of the Chinese government. In 2011, Weiwei was arrested in Beijing and essentially disappeared for three months. When he was released, Weiwei called his detention "hellish," but also said that he was forbidden from discussing anything about the matter in public. Weiwei's ordeal is chronicled in the excellent documentary "Ai Weiwei: Never Sorry."

A restroom sign in 1988 in Cape Town, South AfricaDave G. Houser/Corbis

While nominally a democracy, South Africa in the apartheid era systemically excluded the participation of the vast majority of its people. In 1948, legislation classified all inhabitants into four ethnic groups, and in 1970 political representation for all non-white people was abolished completely. Blacks were assigned to self-governing "homelands" and virtually every aspect of South African society was segregated. In 1990, President F.W. de Klerk began the process of dismantling apartheid and in 1994 a new untiy government was formed with Nelson Mandela as president.

A photo taken on Dec. 12, 2012 shows TV news in Pyongyang, the Democratic People's Republic of Korea (DPRK).Zhang Li/Corbis

North Korea's constitution guarantees freedom of the press. But then again, that document promises a lot of things. In practice, the government has near-complete control over all forms of mass media. The Korean Central News Agency is entirely controlled by the government, and provides all information to the nation's media outlets. The international watchdog groupReporters Without Borders ranks North Korea's freedom of the press as 178th, out of 179 countries. (Number 179? Eritrea.)

People look at computer screens inside an internet cafe in Xining, northwestern China's Qinghai province.Simon Zo/Corbis

Over the years, Chinese authorities have erected a massive structure of policies and technologies known as the Great Firewall of China. It's generally considered the biggest and most effective censorship apparatus in the world. Authorities use firewalls and proxy servers at the gateways where Chinese Internet traffic passes in and out of the country. They also use URL and website-scanning software to block access to certain online material or keywords -- for instance, "Tiananmen Square." State-run social media services have been deployed to emulate and replace Facebook and Twitter.

Anti-government graffiti in 1990 on a wall at the East German secret police headquarters (Stasi) calls for "Psychotherapy for public servants."Owen Franken/Corbis

The official state security service of East Germany during the Cold War era, the Stasi was renown as perhaps the most effective intelligence and secret police agency in history. The Stasi employed a massive network of secret informants in all areas of society. Official records suggest that at one point, around 200,000 citizens -- 3 percent of East Germany's total population -- were paid Stasi informants. The famous German actor Ulrich Muhe -- under constant surveillance during the Stasi era -- later found out his that wife was secretly a Stasi informant. He made a great movie out of it, the 2006 oscar winner "The Lives of Others."

Corbis

The research institute Freedom House publishes a yearly survey called "Freedom in the World," which attempts gauge relative degrees of political freedom in every nation on the planet. As part of last year's report, the group issued "Worst of the Worst 2012: The World's Most Repressive Societies." Nine countries were identified as being the world's worst human rights abusers in calendar year 2011: Equatorial Guinea, Eritrea, North Korea, Saudi Arabia, Somalia, Sudan, Syria, Turkmenistan and Uzbekistan.

Colin Anderson/Corbis

Government use of electronic surveillance is one of the danger zones that spook those afraid of a police state. In recent years, the United Kingdom has come under criticism -- from its own citizens -- that the country is fast becoming a surveillance society. The U.K. is certainly no police state, but both the government and private companies make heavy use of closed-circuit security camera, especially in cities. The research group Surveillance Studies Networkhas ranked Britain as the worst offender among Western industrialized nations. The U.K. certainly isn't alone in this regard. In a 2007 study, Privacy International called out eight countries for being "endemic surveillance societies: China, Malysia, Russia, Singapore, the U.K., Taiwan, Thailand and the United States.

Chairman and Vice Chairman of the U.S. Senate Select Committee on Intelligence, Sen. Dianne Feinstein and U.S. Sen. Saxby Chambliss, speak to the press about reports that the National Security Agency collected phone records.Alex Wong/Getty Images

Mere hours after the disclosure of the NSA phone data program, yet another top secret initiative was uncovered: The federal government has been secretly collecting information on foreigners overseas by working with the nation's largest Internet companies like Google, Facebook and Apple. U.S. director of national intelligence James Clapper confirmed the reports but was quick to point out that the secret program, called Prism, was approved by Congress. And that it minimizes the collection and retention of information “incidentally acquired" about American citizens. Oh, good. So long as they're minimizing it.
 
Usipotoshe
US Ni issue ya race relationship, Na matatizo ya baadhi ya police. Individual police Siyo government. Umewahi kusikia president ana support? Au umewahi kusikia FBI wana support? Please stop there, ranting!!

In Tanzania the one who is doing is the president and also the police force is acting on his orders big difference.

Wewe tembea mjini hapo ulipo US harafu uwe unasema Al-akbar ndo utajua maana ya police state nas sio racisim.
 
‘You Have No Idea What’s Happening’: Muslim Woman Makes Chilling Threat Before Being Arrested at LAX
‘You Have No Idea What’s Happening’: Muslim Woman Makes Chilling Threat Before Being Arrested at LAX
A Muslim woman was caught on camera at Los Angeles International Airport two days after the Orlando terrorist attack, threatening to bomb America and making derogatory comments about LGBT people, according to citizen journalist and cameraman Tony Vera.

Vera first observed the woman being questioned by five police officers, who put her in handcuffs while they searched her luggage. After police cleared her to go, Vera approached the woman to ask about what had happened.
 
Ya kwetu ni zaidi ya police state
almost futuhi state...

manake hata sheria zilizopo haziheshimiwi

nchi zingine kwanza wanapitisha sheria za kidikteta halafu ndo utekelezaji
ours ni tofauti
 
Ya kwetu ni zaidi ya police state
almost futuhi state...

manake hata sheria zilizopo haziheshimiwi

nchi zingine kwanza wanapitisha sheria za kidikteta halafu ndo utekelezaji
ours ni tofauti

Tunafuata whims za MTUKUFU.
 
Nafikir ni umaskin uliokithir ndio unaosumbua na maisha bado ni mepesi mno na ndio maana mwamko unaonekana mjini ambako maisha ni magumu kuliko vijijin ambako ugumu wao wa maisha hawajui nani anasababisha.
Sio kweli, nadhani ni ukosefu wa elimu na uelewa, kijijini ndio watu hawana huduma nzuri za afya, maji,umeme, wanashidia mlo mmoja kwa siku, na hao hao ndio wanaoona kila kitu kipo sawa nchi hii
 
Sawa mkuu umeeleweka, hapa hawakatizi coz dictionary zao walizitupa baada ya matokeo ya 4m4 kuja kinyume na matarajio.

Kusema hii ni Police state sidhani kama ni sawa kwa maana ninachokiona hapa ni kwamba wanatumika kama zana ya kukamilisha mipango ya watu, wao sio waandaji wa hiyo mipango.

Hata hivyo, haina maana kwamba ni waungwana.
Maoni na Mtazamo wa Mwanasheria Alberto Msando kuhusiana na UKUTA


.

12345
. .



Activity Ratio

Activity RatioSenior Member

#1 Yesterday at 4:13 PM


PART ONE: KUPATWA KWA JUA; DUNIA NA MWEZI TAREHE 1.09.2016; UKUTA wanasema nini? Serikali inazuia nini?

Tarehe 1.9.2016 ni siku iliyotangazwa ya maandamano nchi nzima. Maandamano hayo yana jina la 'UKUTA' na yameandaliwa na Umoja wa Kupinga Udikteta Tanzania.
Mpaka sasa ni Chadema pekee ndio wamejitokeza hadharani kama waasisi wa 'umoja' huo. Vyama vingine vya siasa viko kimya kuhusu 'tukio' hilo. Sio tukio la kitaifa.
Ni vyema tujaribu kuangalia kilichoombwa na kilichozuiwa. Pia kuangalia sheria inasemaje kuhusu suala hili.

STAHILI (ENTITLEMENTS) ZA VYAMA VYA SIASA:

1. Sheria za Vyama vya Siasa (Political Parties Act) na za Jeshi la Polisi (Police Force and Auxiliary Services Act) zinatoa stahili ya kufanya mikutano ya hadhara (Public Meetings) na kuongozana (Processions) kwa vyama vya Siasa kwa ajili ya kujitangaza na kutafuta wanachama.

2. Pia sheria inatoa stahili ya kulindwa (Protection) na msaada (Assistance) kutoka kwa vyombo vya usalama ili kufanikisha mikutano kufanyika bila vurugu.
Kufanya mikutano ya hadhara na kuongozana Chama cha Siasa kinatakiwa kutuma taarifa (Notification) masaa 48 kabla kwa Mkuu wa Polisi wa Eneo (Police officer in charge of the area). Taarifa hiyo inatakiwa itaje jina la chama, muda na eneo, sababu za mkutano kwa ujumla au jambo lingine kama Waziri atakavyoelekeza.

Baada ya kutoa taarifa hiyo chama kinaruhusiwa kuendelea na mkutano au kuongozana ISIPOKUWA tu kama kitapokea ZUIO (Stop Order) kutoka kwa Polisi. Lazima Zuio liwe kwa maandishi na Polisi lazima itoe sababu ya kuzuia.

Polisi haruhusiwi kutoa zuio isipokuwa tu i) kuna chama kingine kimeomba kufanya mkutano au kuongozana au shughuli nyingine katika eneo hilo hilo na muda uleule ii) mkutano huo unategemewa kutumika kwa sababu ambazo ni kinyume na sheria, uvunjifu wa amani au kuhatarisha usalama wa raia katika eneo hilo iii) kama chama hakijasajiliwa.... Hayo ndio matakwa ya Sheria kwa ufupi.
End of Part One......

PART TWO: KUPATWA KWA JUA; DUNIA NA MWEZI TAREHE 1.09.2016; UKUTA wanasema nini? Serikali inazuia nini?

Tuanze na jina UKUTA; Umoja wa Kupinga Udikteta Tanzania. Je umoja huu una 'uhalali' wa kisheria? Ni umoja unaotambulika na Sheria ya Vyama vya Siasa? Je lengo lake ni kujitangaza au kupata wanachama wa chama cha siasa? SIO HALALI KISHERIA.

Tuangalie neno MAANDAMANO (Demonstrations/Protests). Je mkutano wa hadhara kujitangaza au kupata wanachama ni kitu kile kile na maandamano ya kupinga Udikteta? Walichoomba Chadema kufanya tarehe moja ni nini kwa mujibu wa Sheria? WANACHOOMBA SIO WANACHOTAKA KUFANYA.

Lakini pia tuangalie ZUIO LA RAISI: Raisi amepiga marufuku mikutano ya kisiasa iwe ya hadhara au ya ndani. Polisi ndio wanaozuia. Je Raisi anayo mamlaka kutoa zuio hilo? HANA MAMLAKA. Pia maagizo ya Raisi sio ya kutolewa kwa mdomo!! Mwenye mamlaka ya kuzuia ni Polisi.

NINI KIFANYIKE?: Sheria inatoa nafasi kwa mtu ambaye amezuiwa na Polisi (kwa Stop Order) kukata rufaa kwa Waziri husika. Uamuzi wa Waziri ni wa mwisho. Kukata rufaa hakutakuwa na matokeo tofauti. Waziri hawezi kwenda kinyume na Raisi wake. HAIWEZEKANI.

Je, Mahakama inahitaji kutoa tafsiri? Sidhani kama kuna kisichoeleweka kwa pande zote mbili. Kuna uwezekano wa 'maamuzi ya pamoja' ya kutokuelewa. Mahakama itatumika aidha kubariki kutokuelewa kwa upande mmoja wapo au kulichanganya suala hili la kisiasa na sheria.

Chadema wanatakiwa kuachana na 'maandamano'. Jina walilochagua na "nia yao njema" haviendani! Wasitegemee huruma ya wananchi. Kulazimisha UKUTA kuendelea ni kukaribisha mvurugano kati ya polisi na wafuasi wao. Hiyo itakuwa ni tafsiri ya uvunjifu wa amani ambayo polisi watatumia!! Na uvunjifu wa amani ni kichaka kikubwa sana kujificha!

Serikali itafakari upya. Raisi asikilize ushauri. Yeye atekeleze ahadi na aachane na siasa za wapinzani. Hana sababu ya kuogopa vivuli. Yeye na chama chake wana deni la maendeleo kwa wananchi. Makatazo yake ndio chanzo cha 'maandamano' ya kumpinga. Kukataa kuwasikiliza wapinzani na kuendelea kuamini kwamba yuko SAHIHI kwa sababu ni Raisi anakosea. Hili ni tatizo la KUJITOA UFAHAMU Raisi; Chadema na Polisi Wanajua.

PART THREE: KUPATWA KWA JUA; DUNIA NA MWEZI TAREHE 1.09.2016; UKUTA wanasema nini? Serikali inazuia nini?

Hili ni tatizo la KUJITOA UFAHAMU Raisi, Chadema na Polisi. Wote wanajua na wanaelewa sheria inasemaje, wana stahili/haki zipi na kwa utaratibu gani!

Ushauri wangu wananchi wakae majumbani. Hao watatu wakutane barabarani katika kupatwa kwao. Tutatoa pole na kuchangia damu. Kwenye giza tutabaki.

AGM 2016' *JUA=RAISI, DUNIA=CHADEMA na MWEZI=POLISI
 
Tusipoteze nguvu na muda kupambana na upinzani, tupambane na umasikini
 
Back
Top Bottom