Niko salama kabisa, juzi tu mwezi wa nane nimerudia kupima niko safi tu, ushauri alipewa yeye,,,, unajua baada ya kuona ameathirika alikuwa anachukua dawa hospitali fulani hivi, alivoona sijui watu wameanza kumkariri alihama kituo cha dawa, amekaa kidogo tena kahama. Hata hivyo kwenye hivyo...