Naomba mtambue kuwa kila eneo lina mtawala au mnyama anayesimama kwa niaba au niite madhabahu,na serikali sio/haiamini uchawi ila watu wake wanaamini.
Mfano jiulize mahakamani nyama Gani anahusika,benk,makanisani mg st something(altars),ukishajua hii Siri husumbuki kabisa.
Hakuna kwenye unafuu hata mmoja,.mfano kuanzia Jana tigo wamepunguza commission ya kutoa pesa na kuweka kwa mawakala,,..kama wewe ni Wakala angalia hilo kwa kila muamala wa kutoa na kuweka
Naufatilia Uzi huu kinagaubaga sana ilanaweza changia walao kidogo,,
Kwanza nikubali hizi power zipo ila kinachofanya wengi tuzipoteze ni madhambi hasa ya zinaa(changanya changanya ya wanawake)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.