Papaa Mobimba
JF-Expert Member
- Jan 27, 2018
- 753
- 3,096
Mamlaka ya Mapato Nchini (TRA), inapenda kuufahamisha Umma kuwa, taarifa zinazosambazwa katika mitandao ya kijamii zikidai kwamba Mtanzania yeyote anayetumia whatsapp atatakiwa kulipia shilingi 15,000/= kuanzia tarehe 10 mwezi huu ni za uongo.